Nisha aiomba basata kumchukulia hatua aunty ezekieli

AKILImuchknow

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
213
Reaction score
14
Wakati wadau wa filamu na kazi za wasanii wakimtolea macho Aunty Ezekiel baada ya picha zake za nusu uchi kusambaa huku zikidaiwa kuvunja maadili ya kitanzania msanii mwenzake Salma Jabu'NISHA' amezitolea uvivu picha hzo na kudai kuwa endapo angekuwa na madaraka ya juu BASATA basi angemchukulia hatua za kumfungia haraka msanii huyo kwa muda[Imenukuliwa kutoka chanzo ki1 cha habari].Tupia maoni yk.
 
Hizi ni baadhi 2 ya mbwembwe za Aunty Ezekiel
 

Attachments

  • AuntyEzekiel1.jpg
    21.1 KB · Views: 661
  • AuntEzekiel3.jpg
    21.8 KB · Views: 321
Aiseeeee babaangu swala la kumfungia aiwezekani coz hao hao viongozi wa basata wanawapitia kimapenzi
 
King Kong III Ney wa Mitego aliwaimba hawa bongo movie kwa ukahaba wanaofanya na kusema ana uthibitisho....sasa sijui yuko kwenye utafit???!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…