Nisha atoa chozi hadharani kulilia dushelele mashabiki wamjia juu na kumtaka aache uasherati.

Nisha atoa chozi hadharani kulilia dushelele mashabiki wamjia juu na kumtaka aache uasherati.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Aliyekuwa mpenzi wa Ney wa Mitego ambaye pia ni muigizaji wa filamu hapa nchini ,mwanadada Salma Jabu (Nisha)hatimaye afunguka hadharani kuwa anakesha akiomba usiku na mchana ili apate mume maana amechoka maisha ya kuishi bila mume na ukizingatia umri unazidi kusonga.

Nisha pia anajivunia kukuza binti yake aitwae Iptsam ambaye kwa haraka haraka unaweza ukadhani labda ni mdogo wake kwa maana miili yao haitofautiani ukubwa.

Iptisam amemaliza darasa la saba mwaka huu na mwakani Mungu akipenda anatarajia kujiunga kidato cha kwanza.

Screenshot_2017-10-01-01-39-33.jpg



Screenshot_2017-10-01-01-41-16.jpg


Screenshot_2017-10-01-01-41-22.jpg


Screenshot_2017-10-01-01-42-37.jpg


Screenshot_2017-10-01-01-42-52.jpg


Screenshot_2017-10-01-02-04-21.jpg
 
Sasa hapo kalilia dushe au kalilia heshima ya mwanamke wa Kiafrika ambae anaamini pasipo na ndoa basi hajakamilika!!!!

Kusema analilia dushe ni kumpa crown ambayo sidhani kama anastahili manake ni kama kusema hajagegedwa muda mrefu na kwahiyo kaliwekea hamu!!!
 
Mleta mada na ww unallilia dushelele
 
Sasa hapo kalilia dushe au kalilia heshima ya mwanamke wa Kiafrika ambae anaamini pasipo na ndoa basi hajakamilika!!!!

Kusema analilia dushe ni kumpa crown ambayo sidhani kama anastahili manake ni kama kusema hajagegedwa muda mrefu na kwahiyo kaliwekea hamu!!!
Kwenye ndoa huwa wanafuata nini?
 
Swali hujibiwa na jibu lakini kama unadhani wanafuata dushe, watu wengi wanapiga dushe na wengine wanapigwa dushe pasipo na ndoa! Which means, dushe sio sababu ya msingi!!!
Aisee .

Kama dushe sio sababu basi wangekuwa wanaoana Ke kwa Ke.

Watu wanaoana ili kutengeneza familia na hiyo familia inapikana kupitia kushiriki tendo la ndoa baina ya Me na Ke.
 
Aisee .

Kama dushe sio sababu basi wangekuwa wanaoana Ke kwa Ke.

Watu wanaoana ili kutengeneza familia na hiyo familia inapikana kupitia kushiriki tendo la ndoa baina ya Me na Ke.
Hoja ni kwamba msingi wa ndoa sio dushe kwa sababu dushe linapatikana hata pasipo na ndoa! Kinyume chake, msingi wa ndoa ni watu kutaka kuishi pamoja kihalali na hayo mengine ni matokeo tu!!!

Na ndio maana, ni kawaida kuona mtu anakaa na mwanamke/mwanaume kwa miaka huku wakiendelea kupigana dushe na kuzaa! Lakini anapotokea mtu wa nje aliye tayari kufunga ndoa na mmoja wa hawa; unakuta hiyo bond inavunjika na mtu anafuata ndoa ingawaje kama ni mwanamke, hata huko alikotoka alikuwa anapigwa dushe kila siku na kuzaa juu!!!

Aidha, si jambo geni pia kuona mwanamke wa miaka 60+ nae akitaka kuolewa na wakati mwingine kuolewa kabisa wakati hata uzazi umeshafunga!!!

Na ndicho ninachokiona kwenye ujumbe wa Salma Jabu!! Shida yake sio dushe bali ni ndoa! Kama ni dushe, anaweza kupigwa wakati wowote akitaka!
 
Hoja ni kwamba msingi wa ndoa sio dushe kwa sababu dushe linapatikana hata pasipo na ndoa! Kinyume chake, msingi wa ndoa ni watu kutaka kuishi pamoja kihalali na hayo mengine ni matokeo tu!!!

Na ndio maana, ni kawaida kuona mtu anakaa na mwanamke/mwanaume kwa miaka huku wakiendelea kupigana dushe na kuzaa! Lakini anapotokea mtu wa nje aliye tayari kufunga ndoa na mmoja wa hawa; unakuta hiyo bond inavunjika na mtu anafuata ndoa ingawaje kama ni mwanamke, hata huko alikotoka alikuwa anapigwa dushe kila siku na kuzaa juu!!!

Aidha, si jambo geni pia kuona mwanamke wa miaka 60+ nae akitaka kuolewa na wakati mwingine kuolewa kabisa wakati hata uzazi umeshafunga!!!

Na ndicho ninachokiona kwenye ujumbe wa Salma Jabu!! Shida yake sio dushe bali ni ndoa! Kama ni dushe, anaweza kupigwa wakati wowote akitaka!
Kuoana wanahalalisha tu hilo tendo la ndoa .
 
Sasa hapo kalilia dushe au kalilia heshima ya mwanamke wa Kiafrika ambae anaamini pasipo na ndoa basi hajakamilika!!!!

Kusema analilia dushe ni kumpa crown ambayo sidhani kama anastahili manake ni kama kusema hajagegedwa muda mrefu na kwahiyo kaliwekea hamu!!!
Uko sahihi kabisa hiyo ni lugha ya uzalilishaji ambayo serikali inatunga sheria kila ck kudhibiti upuuzi km huu.

Tafsiri yake hata mama zetu ambao wamesisitiza kuolewa ili watunze heshima za kimila na kiimani walikuwa wanalilia dushe? Na wanaume wanatafuta wasichana wa kuwaoa nao wanalilia nini?
 
Uko sahihi kabisa hiyo ni lugha ya uzalilishaji ambayo serikali inatunga sheria kila ck kudhibiti upuuzi km huu.

Tafsiri yake hata mama zetu ambao wamesisitiza kuolewa ili watunze heshima za kimila na kiimani walikuwa wanalilia dushe? Na wanaume wanatafuta wasichana wa kuwaoa nao wanalilia nini?
Ukweli utabaki palepale.

Penye ukweli uongo hujitenga
 
Back
Top Bottom