Wambea tumetoka mbali [emoji23][emoji23][emoji23]Ninavyokujua wewe unavyopenda umbea sijui kama utaweza kuvumilia, tena nitakuwa natoa maumbea hot yale yani hakunaga
Unamjuaje mkuu?[emoji39]omy dimpoz hamstendishi milele namjua tu
huyo ni fimbo legea
hiv hii mxiuuu mnaitumiaga madem na wanaume wadar inamaana ganiYani halafu wote hawa wana scandal chafu, so walitaka kujisafisha tu na kick za kijinga, wamefeli mxiuuu
huu ubuyu niliupata hapahapa mjini tena kwa chanzo cha uhakika kabisaaaUnamjuaje mkuu?[emoji39]
Mzigo huwa hauanzii juu hivyo hata siku mojaHawa majamaa wanazingua ukiangalia hayo madude yametoka usawa wa kitovuni na si katikati ya miguu
Kwa sababu hawana vitu hivyo , mwenye nacho huwa hana mbwembwe hata siku mojaHaya mambo mnayajua wanaume, kama ndio hivyo siwezi kukataa.
Ila sasa kama sio maumbile yao kwanini wanatumia nguvu nyingi hivyo?
Ndio maana pana harufu mbaya humu leo.Hahahaah makaburi yanafufuliwa
Duh!omy dimpoz hamstendishi milele namjua tu
huyo ni fimbo legea
Nisha ndiyo kaweka kiusawa kabisa unaweza ukasema ni kweli.Hawa majamaa wanazingua ukiangalia hayo madude yametoka usawa wa kitovuni na si katikati ya miguu
Umemjuaje..??omy dimpoz hamstendishi milele namjua tu
huyo ni fimbo legea