Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
Kwa kwelipole yakee
"Kama unataka mtoto gongwa zaa" Sir Nature.Msanii Nisha kwa mara nyingine tena amepata title ya u 'single parent'...
Ni baada ya kupewa mimba na kisha kuachana na baby dady wa kijacho hiko bila hata kusubiri mrembo huyo ajifungue.....
Inasemekana lakini eti,inasemekana eti capital letter D hiyo yaweza kua imechorwa na 'zipu mbovu' a.k.a 'kisiki cha mpingo' Baraka da prince....
Ila Nisha kasema haina noma kama yule wa kwanza alimlea bila msaada wa baby dady, huyu ataanzaje kushindwa?...
View attachment 434468
mmm aseee"Kama unataka mtoto gongwa zaa" Sir Nature.
wameachika wazuri zaidi yake,wanaume buanaHee mbona mdada mzuri sana huyo kwanini kamkataa? Wanaume bwana.
ndioNisha ni nani?yule wa bongomovie?
Sasa huwa wanataka nini kama mpaka wazuri wanawatema?wameachika wazuri zaidi yake,wanaume buana
ndio
yani ni nature tu sijuiSasa huwa wanataka nini kama mpaka wazuri wanawatema?
Au ndio si riziki tu kiasili?
hata me nimehisi hivyo"Kama usivyojua hii ni yako au ya mwenzako".....Kwa hiyo alikuwa ana double date? No wonder wanaume wote wameikataa mimba, maana hawana uhakika nani ndo baba kijacho original. Ameamua Kulea peke yake, basi anyamaze tu, alee salama. Afu inaonyesha hao suspected baby daddies wote ni celebrities, maana ujumbe unawahusu wote mweee kwenye dunia ya kutazamwa (I hope nimeielewa sawa post yake)
haha utawaweza bongo movie basi, mbona riyama kaolewa na yule dogo leomysterio sijuiSasa yeye kwa Baraka si kama mdogo wake wa mwisho?
alitegemea kuolewa ina maana?