Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Nimeona hii qoute ya habari
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Nishati Jadidifu na Teknolojia Mbadala akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mha. Advera mwijage amesema mitungi ya gesi 452,445 yanye gharama ya shilingi bilioni 8.64 inakwenda kusambazwa nchini ambapo kila wilaya itapata mitungi 3,255.
Swali linakuja Kwanini tunafanya hivyo wakati tuna mbadala ambao ni gharama nafuu na tunazalisha wenyewe wakati hii gesi sio yetu tunaagiza ?
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Hitimisho
Je ni kwamba Hatufahamu haya au kuna faida gani tunapata ? Au ni kipi sijaelewa... Yaani tunahamasisha kitu ambacho....
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Nishati Jadidifu na Teknolojia Mbadala akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mha. Advera mwijage amesema mitungi ya gesi 452,445 yanye gharama ya shilingi bilioni 8.64 inakwenda kusambazwa nchini ambapo kila wilaya itapata mitungi 3,255.
Swali linakuja Kwanini tunafanya hivyo wakati tuna mbadala ambao ni gharama nafuu na tunazalisha wenyewe wakati hii gesi sio yetu tunaagiza ?
Nishati Safi ya Kupikia, Mwarobaini tunao na ni Bora kuliko Gesi
Baada ya kuona kwenye Habari Serikali imeanzisha Mfuko wa Nishati Safi ya Kupikia nikaona ni vema tuangalie kwa nchi Yetu Nishati hio ni ipi na ni vipi itatufaa, ili tusije kuingia gharama ambazo zitakuwa hazina manufaa kwetu. Nishati zilizopo: Kwenye kila kaya aina ya Nishati inayotumiwa...
Nishati Safi ya Kupikia: Kwa Kutumia Tariff Zero (100 per Unit) Mpikiaji badala ya kutumia Gesi Ataokoa Tshs 206/= kwa kila unit
Yaani kila mwanakijiji au kama tukiamua wote wawe Tariff Zero kila mwenye Mtungi wa kujaza elfu 25 akienda kununua huyu wa umeme anasave elfu 16 au kwa maana nyingine ni kama mwenye umeme ananunua mtungi wa gesi kwa elfu nane. Hili lipo wazi kabisa swali ni kwamba kwanini kama Taifa tunapigia...
Nishati Safi: Kwanini Tunahimiza / Hamasisha kutumia Fedha za Kigeni katika Mapishi wakati tuna Mbadala
Usinielewe vibaya mimi sio Mercantilist, na ninakubaliana na Bwana Smith aliposema, "It is the maxim of every prudent master of a family never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy". Kwahio cha kujiuliza je ? Kuhamasisha matumizi ya LPG badala ya kuhakikisha...
Gharama ya Gesi Vs Umeme katika Kupikia kwa Bei za Sasa za Tanzania
Katika muendelezo wa Makala zangu za Nishati safi ya kupikia; kumekuwa na sintofahamu kuhusu gharama za umeme kwamba ni kubwa sana hivyo kwa kumuwezesha mwananchi ni bora kumpa gesi. Nimeona bora tuangalie ukweli huo kwa kutumia mahesabu yasiyo rasmi.... 1kg ya Gesi = 13.6kwh (units) Kwenye...
Hitimisho
Je ni kwamba Hatufahamu haya au kuna faida gani tunapata ? Au ni kipi sijaelewa... Yaani tunahamasisha kitu ambacho....
- Kina gharama kuliko mbadala
- Sio cha kwetu tunaagiza kutoka nje
- Mbadala tunao
- Tunakata pesa kwenye mbadala (Kodi) ili mbadala upande gharama (Umeme) ili tuweke Ruzuku pengine.., mbaya zaidi huko pengine wala sio mali yetu (watu binafsi na mataifa ya nje)
- Tunakataza watu kutumia wanachotumia sasa (kuni) ambazo ni bure kwa kuwapa mitungi ambayo ina gharama zaidi ya 200/= kuliko tungewaambia watumie Umeme (Hatuwaambii ukweli) na hata tukiwapa Ruzuku ni kwamba Kodi zao ambazo zingetumika pengine ndio tunazipeleka huku kwenye Gesi.