Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Yaani kila mwanakijiji au kama tukiamua wote wawe Tariff Zero kila mwenye Mtungi wa kujaza elfu 25 akienda kununua huyu wa umeme anasave elfu 16 au kwa maana nyingine ni kama mwenye umeme ananunua mtungi wa gesi kwa elfu nane. Hili lipo wazi kabisa swali ni kwamba kwanini kama Taifa tunapigia chapuo gesi?
www.jamiiforums.com
Umeme ni kama Maji kwenye Bomba ukifungulia lazima utumike au Unaupoteza; Kuliko kuuzia watu Umeme kwa Tariff ya Kawaida 292/= na Wengi kuwaunganisha na Tariff Zero Tshs 100/= na Wakaongeza Matumizi kwa Kupikia Utakuwa bado una Makusanyo yaleyale, Matumizi yaleyale na Kupunguza Gharama kama Taifa la Kutumia fedha za Kigeni kuagiza Gesi ya Kupikia.
Nishati ikizalishwa lazima itumike au inapotea mfano nishati ya maji kama ile nguvu ya maporoko ya maji yanaweza kuzalisha 2kw kwa kila saa na wewe ukiwa unatumia 1kw ni kwamba nusu ya Nishati inapotea na sio kwamba unakuwa umeokoa gharama...., hivyo kwa kupunguza Bei badala ya kuongeza, utakuwa umeongeza watumiaji wa Umeme kupikia hivyo kuokoa gharama ya uagizaji wa gesi na kumpunguzia matumizi mtumiaji pesa ambayo atatumia kwa mambo mengine.
www.jamiiforums.com
Badala ya kuingia kwenye Mitego ya Kuingia Mikataba na Madalali (so called wawekezaji) hivyo gharama ya Umeme Kupanda kwanini tusisimamie kama Taifa na Kipaumbele kiwe gharama nafuu kwa mtumiaji ?
Umeme ni Huduma na mafanikio yanapimwa kwa gharama affordable kwa mtumiaji na sio Makusanyo ya Serikali ambayo in the first place dhima yake ni kutoa Huduma, hivyo kama ni uwekezaji basi uwe kwenye uzalishaji na yoyote anayeweza kuzalisha na azalishe so long as atauzia Tanesco bei rahisi kuliko Tanesco anayoweza kuzalisha na kwa karne ya sasa kuna uwezekano wa kila raia akawa mzalishaji.
www.jamiiforums.com
Njia Pekee ya kuingia kwenye Nishati Safi ya Kupikia kwa Gharama Ndogo ni Umeme Tuwekeze Nguvu zetu zote huko, Kuagiza Gesi ni Ulimbukeni na Kama Gesi ni rahisi basi isipelekwe Majumbani bali kwenye Kufua Umeme ili izalishe Umeme (After all tuna Gesi ya Mtwara)
Kinachoendelea ni kukosa Uzalendo kwa watu kwa ajili ya biashara zao kupigia chepuo kitu ambacho kina gharama (gesi) kuliko alternative (umeme) rai yangu kwa watu hawa angalau mara moja waangalie ustawi wa nchi na sio ustawi wao.., na kama ni biashara na kufukuzia fursa basi wawekeze kwenye kuuza vifaa vya umeme au hata kuzalisha umeme kama wanaweza kuwa na bei nafuu kuliko Tanesco.
Kwahio next time mbunge wako au Waziri akikuletea Mtungi wa Gesi bure mwambia Asante sana ila tashukuru zaidi kama unikipigania gharama ya Umeme ikashuka kwa kufanya hivyo utaokoa pesa zangu za kodi unazotumia kuagizia hii gesi unayonipa ili kila nikinunua nipoteze Tshs 16,000/= na zaidi.
Tuanzie Tulipo, Tutumie Tulichonacho na Tufanye Tunachoweza...
Nishati Safi ya Kupikia: Badala ya Kugawa Mitungi ya Gesi, Kwanini tusigawe induction Cookers
Mtungi mdogo wa Gesi wa Kilo Sita Net bei yake ni elfu 45 mpaka elfu 55 Nimecheki hii Induction Cooker direct from Factory huko China Hata tukichukilia kwamba dollar moja ni elfu 2600 hii cooker inaweza kuwa na gharama ndogo kuliko hilo jiko tunalogawa bure kwa watu..., LAKINI kabla ya yote...
Umeme ni kama Maji kwenye Bomba ukifungulia lazima utumike au Unaupoteza; Kuliko kuuzia watu Umeme kwa Tariff ya Kawaida 292/= na Wengi kuwaunganisha na Tariff Zero Tshs 100/= na Wakaongeza Matumizi kwa Kupikia Utakuwa bado una Makusanyo yaleyale, Matumizi yaleyale na Kupunguza Gharama kama Taifa la Kutumia fedha za Kigeni kuagiza Gesi ya Kupikia.
Nishati ikizalishwa lazima itumike au inapotea mfano nishati ya maji kama ile nguvu ya maporoko ya maji yanaweza kuzalisha 2kw kwa kila saa na wewe ukiwa unatumia 1kw ni kwamba nusu ya Nishati inapotea na sio kwamba unakuwa umeokoa gharama...., hivyo kwa kupunguza Bei badala ya kuongeza, utakuwa umeongeza watumiaji wa Umeme kupikia hivyo kuokoa gharama ya uagizaji wa gesi na kumpunguzia matumizi mtumiaji pesa ambayo atatumia kwa mambo mengine.
TANESCO, Je mnafuta Tariff Zero?
Imekuwa ni kawaida kwa wale wateja ambao matumizi yao kwa mwezi ni chini ya 75 units kuwekwa kwenye tariff zero (yaani huyu mtu kwa takribani 9600/= anajipatia units 75); Sasa kuna wadau kama wanne ambao walikuwa kwenye hii Tariff nimesikia wakilalamika ndani ya kama mwezi kwamba...
Badala ya kuingia kwenye Mitego ya Kuingia Mikataba na Madalali (so called wawekezaji) hivyo gharama ya Umeme Kupanda kwanini tusisimamie kama Taifa na Kipaumbele kiwe gharama nafuu kwa mtumiaji ?
Umeme ni Huduma na mafanikio yanapimwa kwa gharama affordable kwa mtumiaji na sio Makusanyo ya Serikali ambayo in the first place dhima yake ni kutoa Huduma, hivyo kama ni uwekezaji basi uwe kwenye uzalishaji na yoyote anayeweza kuzalisha na azalishe so long as atauzia Tanesco bei rahisi kuliko Tanesco anayoweza kuzalisha na kwa karne ya sasa kuna uwezekano wa kila raia akawa mzalishaji.
Wazo huru: PPP's ya Tanesco na wamiliki wa nyumba Tanzania (133.2 gigawatts)
Nishati ni muhimu sana katika Nchi na Tanzania kama nchi ya kitropiki imebarikiwa kuwe na Jua la kutosha ukiunganisha na vyanzo vingine vingi, vilevile kutokana na Vyanzo vya Maporomoko Nishati ya Jua inaweza ikaunganishwa na Maporomoko ya Maji ili kutengeneza battery ya kutunzia Nishati...
Njia Pekee ya kuingia kwenye Nishati Safi ya Kupikia kwa Gharama Ndogo ni Umeme Tuwekeze Nguvu zetu zote huko, Kuagiza Gesi ni Ulimbukeni na Kama Gesi ni rahisi basi isipelekwe Majumbani bali kwenye Kufua Umeme ili izalishe Umeme (After all tuna Gesi ya Mtwara)
Kinachoendelea ni kukosa Uzalendo kwa watu kwa ajili ya biashara zao kupigia chepuo kitu ambacho kina gharama (gesi) kuliko alternative (umeme) rai yangu kwa watu hawa angalau mara moja waangalie ustawi wa nchi na sio ustawi wao.., na kama ni biashara na kufukuzia fursa basi wawekeze kwenye kuuza vifaa vya umeme au hata kuzalisha umeme kama wanaweza kuwa na bei nafuu kuliko Tanesco.
Kwahio next time mbunge wako au Waziri akikuletea Mtungi wa Gesi bure mwambia Asante sana ila tashukuru zaidi kama unikipigania gharama ya Umeme ikashuka kwa kufanya hivyo utaokoa pesa zangu za kodi unazotumia kuagizia hii gesi unayonipa ili kila nikinunua nipoteze Tshs 16,000/= na zaidi.
Tuanzie Tulipo, Tutumie Tulichonacho na Tufanye Tunachoweza...