Nishati safi yazidi kupamba moto Arusha! China yaipa Tanzania msaada wa mitungi ya gesi 800

Nishati safi yazidi kupamba moto Arusha! China yaipa Tanzania msaada wa mitungi ya gesi 800

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Ubalozi wa China nchini Tanzania kwa kushirikiana na Oryx Gas Tanzania Limited (OGTL) wametoa msaada wa mitungi ya gesi na majiko kwa makundi mbalimbali mkoani Arusha.

Siku ya Jumatatu wiki hii, ubalozi wa China walitoa mitungi 800 ya gesi pamoja na majiko kwa walimu, madereva, watumishi wa serikali, na waandishi wa habari.

Msaada huo ni sehemu ya mchango wa mitungi 1,500 ya gesi uliotolewa kwa walimu wa shule za msingi na sekondari mwishoni mwa wiki.

Soma pia: Mbunge Amina Mzee Akabidhi Mitungi 200 ya Gesi, Aungana Kushiriki Iftar na Waumini wa Dini ya Kiislam

Balozi wa China nchini Tanzania, Bi. Chen Mingjian, alieleza kuwa katika kipindi cha miaka mitatu aliyokuwepo nchini Tanzania, ameshuhudia jitihada kubwa zinazofanywa naTanzania katika kulinda mazingira.

“Tanzania ni taifa linalojali mazingira na lina dhamira ya kuhifadhi Mlima Kilimanjaro na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti,” alisema.

Ubalozi wa China kwa kushirikiana na Oryx Gas Tanzania ulitoa msaada huo ili kuunga mkono jitihada lengo za kulinda mazingira.

Source: Daily News
 
Ubalozi wa China nchini Tanzania kwa kushirikiana na Oryx Gas Tanzania Limited (OGTL) wametoa msaada wa mitungi ya gesi na majiko kwa makundi mbalimbali mkoani Arusha.

Siku ya Jumatatu wiki hii, ubalozi wa China walitoa mitungi 800 ya gesi pamoja na majiko kwa walimu, madereva, watumishi wa serikali, na waandishi wa habari.

Msaada huo ni sehemu ya mchango wa mitungi 1,500 ya gesi uliotolewa kwa walimu wa shule za msingi na sekondari mwishoni mwa wiki.

Soma pia: Mbunge Amina Mzee Akabidhi Mitungi 200 ya Gesi, Aungana Kushiriki Iftar na Waumini wa Dini ya Kiislam

Balozi wa China nchini Tanzania, Bi. Chen Mingjian, alieleza kuwa katika kipindi cha miaka mitatu aliyokuwepo nchini Tanzania, ameshuhudia jitihada kubwa zinazofanywa naTanzania katika kulinda mazingira.

“Tanzania ni taifa linalojali mazingira na lina dhamira ya kuhifadhi Mlima Kilimanjaro na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti,” alisema.

Ubalozi wa China kwa kushirikiana na Oryx Gas Tanzania ulitoa msaada huo ili kuunga mkono jitihada lengo za kulinda mazingira.

Source: Daily News
Hadi mitungi ya gesi mnategemea wachina waje kuwapatia. Ok baada ya kutongozwa na hiyo mitungi ya gesi tutegemee uporaji zaidi wa meno ya tembo kwenda China. Hakuna cha bure hapa. Wajinga ndio waliwao zaidi
 
Ubalozi wa China nchini Tanzania kwa kushirikiana na Oryx Gas Tanzania Limited (OGTL) wametoa msaada wa mitungi ya gesi na majiko kwa makundi mbalimbali mkoani Arusha.

Siku ya Jumatatu wiki hii, ubalozi wa China walitoa mitungi 800 ya gesi pamoja na majiko kwa walimu, madereva, watumishi wa serikali, na waandishi wa habari.

Msaada huo ni sehemu ya mchango wa mitungi 1,500 ya gesi uliotolewa kwa walimu wa shule za msingi na sekondari mwishoni mwa wiki.

Soma pia: Mbunge Amina Mzee Akabidhi Mitungi 200 ya Gesi, Aungana Kushiriki Iftar na Waumini wa Dini ya Kiislam

Balozi wa China nchini Tanzania, Bi. Chen Mingjian, alieleza kuwa katika kipindi cha miaka mitatu aliyokuwepo nchini Tanzania, ameshuhudia jitihada kubwa zinazofanywa naTanzania katika kulinda mazingira.

“Tanzania ni taifa linalojali mazingira na lina dhamira ya kuhifadhi Mlima Kilimanjaro na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti,” alisema.

Ubalozi wa China kwa kushirikiana na Oryx Gas Tanzania ulitoa msaada huo ili kuunga mkono jitihada lengo za kulinda mazingira.

Source: Daily News
Tatizo ni Bei ya gesi iko juu , maana mitungi iliyogawiwa awali Kagera na Geita ilishaanza kutumika Kama vigoda vya kukalia baada ya gesi iliyokuwamo kuisha. Bei yafaa ipungue !
 
Ubalozi wa China nchini Tanzania kwa kushirikiana na Oryx Gas Tanzania Limited (OGTL) wametoa msaada wa mitungi ya gesi na majiko kwa makundi mbalimbali mkoani Arusha.

Siku ya Jumatatu wiki hii, ubalozi wa China walitoa mitungi 800 ya gesi pamoja na majiko kwa walimu, madereva, watumishi wa serikali, na waandishi wa habari.

Msaada huo ni sehemu ya mchango wa mitungi 1,500 ya gesi uliotolewa kwa walimu wa shule za msingi na sekondari mwishoni mwa wiki.

Soma pia: Mbunge Amina Mzee Akabidhi Mitungi 200 ya Gesi, Aungana Kushiriki Iftar na Waumini wa Dini ya Kiislam

Balozi wa China nchini Tanzania, Bi. Chen Mingjian, alieleza kuwa katika kipindi cha miaka mitatu aliyokuwepo nchini Tanzania, ameshuhudia jitihada kubwa zinazofanywa naTanzania katika kulinda mazingira.

“Tanzania ni taifa linalojali mazingira na lina dhamira ya kuhifadhi Mlima Kilimanjaro na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti,” alisema.

Ubalozi wa China kwa kushirikiana na Oryx Gas Tanzania ulitoa msaada huo ili kuunga mkono jitihada lengo za kulinda mazingira.

Source: Daily News
Hii kitu haiwezi kuwa solution. yani ni sawa umpe mtu asiye na kipato range rover ukijua service na vipuri vyake bei ghali na linatafuna mafuta.
baadaye atalipaki au kuliuza.
mimi huwa approach za kutatua matatizo hapa tanzania zinanishangaza.
Hawa wanaopewa mitungi, gas ikiisha watarudia mkaa au watauza hiyo mitungi. gas ni cheap ila shida ipo katika kubadilisha mtungi ulioisha gas ni ghali na pesa wapaswa utoe kwa wakati mmoja.
Serikali ingefanya gas iwe affordable kiasi kwamba mtu yeyote aone kutumia kuni na mkaa ni expensive kusingekuwa na haja ya kugawa hiyo mitungi.
 
Hadi mitungi ya gesi mnategemea wachina waje kuwapatia. Ok baada ya kutongozwa na hiyo mitungi ya gesi tutegemee uporaji zaidi wa meno ya tembo kwenda China. Hakuna cha bure hapa. Wajinga ndio waliwao zaidi

Umeiweka vizuri mno mkuu
 
Hii kitu haiwezi kuwa solution. yani ni sawa umpe mtu asiye na kipato range rover ukijua service na vipuri vyake bei ghali na linatafuna mafuta.
baadaye atalipaki au kuliuza.
mimi huwa approach za kutatua matatizo hapa tanzania zinanishangaza.
Hawa wanaopewa mitungi, gas ikiisha watarudia mkaa au watauza hiyo mitungi. gas ni cheap ila shida ipo katika kubadilisha mtungi ulioisha gas ni ghali na pesa wapaswa utoe kwa wakati mmoja.
Serikali ingefanya gas iwe affordable kiasi kwamba mtu yeyote aone kutumia kuni na mkaa ni expensive kusingekuwa na haja ya kugawa hiyo mitungi.

Hivi humo maofisini kwa viongozi wa CCM hamnaga think tanks?
 
Hivi inakuaje tunahongwa hadi mitungi mkuu
Phisical ndo kasumba ya Mtanzania, hata umeme offer ya bure itolewe kwanza wengi au wote wapate, vitu vizuri wengi hawapendi viwepo ndo maana ukisubiri watajinunulia kamwe hawawezi kujinunulia, kila kata inawatu lakini huduma za msingi hazipo, huduma zinatumika na watu na haohao watu inabidi wapewe vitu vizuri kwa nguvu ili wavitumie.
 
Kuna muda inabidi serikali ichukue hatua za ziada kuhudumia jamii kwa lazima, usipowahudumia jamii iliyosema yenyewe vitu vizuri hapana utajikuta kila uchaguzi ajenda zinajirudia zilezile na mbele watu hawasogei, ajenda ya kuwapa watu vitu ndo ipo kwenye teknologia, maana ukisubiri kwamba watapata pesa wanunue wengine ni walevi wakipata pesa wanalewa, tupewe vitu na siyo maneno.
 
Nasikia huo mtungi macho kuvimba anaweka gesi kifuu ukitumia week umeisha unaenda kujaza
 
Hiyo ni kwa Oryx gas mkuu, hawa wachina wanafidikaje?

Wanaofaidika ni Orxy kwani mwisho wa siku wana uhakika wa soko kwenye refill ya gas na hapo juu wametajwa kama ni washirika na ubalozi wa China kwenye hii kampeni...
 
Back
Top Bottom