Nishaurini chochote

Nishaurini chochote

Raisi WA JF

Member
Joined
Sep 1, 2022
Posts
25
Reaction score
38
Hivi wewe unapofikia hatua ukakosa cha kufanya, matumaini uliyokuwa nayo yakayeyuka, watu uliowategemea wamekuacha, kanisani unaogopa hata kukanyaga maana wanakudai sadaka ya ujenzi na michango mingine, kila ukipiga magoti kusali unahisi maombi yako Mungu haya sikiii, umri unasogea ila wewe bado upo palepale, vijana wa umri wako wamepiga hatua kimaendeleo mpaka unajiona mzembe sana unajaribu kusimama kwa miguu yako ila unakosa support....


Mtu akiwa kwenye hali hii unamshaurije tuseme ni mimi ndio napitia khalii hiii.
 
Binafsi siku ikitokea nimeshindwa kbs namna ya kula hivyo nikajiona nakufa kwa njaa ,bas hiyo ndio siku ambayo nitakata tamaa katika maisha yangu na familia yangu.

Siku hazifanani, kuna kupata na kukosa, mshukuru Mungu wako kwa yote.

Tatizo letu tuna tabia mbaya sana sana sana ya kuona kufanya baadhi ya kazi ni aibu kwa jamii inayotuzunguka.

Toka hapo mtaani kwako zungukia mitaa ambayo wengi hawakujui huwezi kukosa walau kibarua cha kusaidia fundi kujenga utapata chochote maisha yanasonga mbele. Hii tabia ya kujifungia ndani kama utumbo kamwe haitokusaidia.

Ishi leo usiishi jana
 
Binafsi siku ikitokea nimeshindwa kbs namna ya kula hivyo nikajiona nakufa kwa njaa ,bas hiyo ndio siku ambayo nitakata tamaa katika maisha yangu na familia yangu.

Siku hazifanani, kuna kupata na kukosa, mshukuru Mungu wako kwa yote.

Tatizo letu tuna tabia mbaya sana sana sana ya kuona kufanya baadhi ya kazi ni aibu kwa jamii inayotuzunguka.

Toka hapo mtaani kwako zungukia mitaa ambayo wengi hawakujui huwezi kukosa walau kibarua cha kusaidia fundi kujenga utapata chochote maisha yanasonga mbele. Hii tabia ya kujifungia ndani kama utumbo kamwe haitokusaidia.

Ishi leo usiishi jana
Nimepokea Ushauri wako Mkuu barikiwa sana[emoji120]
 
Hivi wewe unapofikia hatua ukakosa cha kufanya, matumaini uliyokuwa nayo yakayeyuka, watu uliowategemea wamekuacha, kanisani unaogopa hata kukanyaga maana wanakudai sadaka ya ujenzi na michango mingine, kila ukipiga magoti kusali unahisi maombi yako Mungu haya sikiii, umri unasogea ila wewe bado upo palepale, vijana wa umri wako wamepiga hatua kimaendeleo mpaka unajiona mzembe sana unajaribu kusimama kwa miguu yako ila unakosa support....


Mtu akiwa kwenye hali hii unamshaurije tuseme ni mimi ndio napitia khalii hiii.
Unatakiwa ujue kwenye maisha kuna kutofautiana katika kila sector,kuna wafupi sana na warefu sana,vibonge sana na wembamba sana,weusi sana na weupe sana na mazaga zaga mengine

Ni kama vidole,havilingani

Kwa umri wako huo yupo ambaye mfuko wake ni empty na yupo mwenye uwezo uliopitiliza
Tufanye una miaka 27,kuna mdau anaitwa Kylie Jenner ana miaka 25 tu na tayari anaitwa billionaire

Endelea kupambana,bado hujachelewa
Utafika muda ugumu unaopitia sasa utakuwa ni history
 
Unatakiwa ujue kwenye maisha kuna kutofautiana katika kila sector,kuna wafupi sana na warefu sana,vibonge sana na wembamba sana,weusi sana na weupe sana na mazaga zaga mengine

Ni kama vidole,havilingani

Kwa umri wako huo yupo ambaye mfuko wake ni empty na yupo mwenye uwezo uliopitiliza
Tufanye una miaka 27,kuna mdau anaitwa Kylie Jenner ana miaka 25 tu na tayari anaitwa billionaire

Endelea kupambana,bado hujachelewa
Utafika muda ugumu unaopitia sasa utakuwa ni history
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom