Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
- Thread starter
-
- #21
Hahahaaa.Nataka kuleta mapinduzi.Isitoshe najisikia sina hobi ya pamba nyepesi wala fudi ndio maana nikachagua huku kwenye kujenga.Halafu wote ambao mnaendelea na ujenzi kuanzia wewe Fidel itabidi mniunge uteja.Weweeeeeee hao wapo juu k/koo hapo utawakuta kwenye pamba nyepesi kama unamtaji wa kuruka China na Thailand ingia huko kwenye pamba nyepesi
Habari za kazi wapendwa wote wana JF.
Ninaamini hapa kuna wazoefu wengi wa masuala ya biashara au Idea yoyote ya HARDWARE.Ninampango wa kuanzisha biashara hii ya hardware(vifaa vya ujenzi na umeme) na kwa sasa nipo kwenye Research ili nifanikishe malengo.
Naomba mniambie ni sehemu gani nzuri inalipa kama ni hapa katikati ya jiji au pembezoni ya jiji.
Pia kama una anything i.e ushauri,maoni,maonyo au maelekezo yoyote kuhusiana na biashara hii usisite kunieleza.
Asanteni sana and Iam looking forward to get great things from great thinkers.
Halafu wote ambao mnaendelea na ujenzi kuanzia wewe Fidel itabidi mniunge uteja.
Ninachokuomba utambulisho uwahi mapema zaidi.Nimeambiwa pale mwenge NHBRA kuna U-Rombo mkuu,mashati nk.Hahahaha! 2010 tuko kibiashara zaidi.
Ngoja nindelee kuangalia mtiririko afu mi ntakuwa wa mwisho kwa ajili ya hitimisho!
hehehe nitakuunga mkono baada ya kujua wewe wa Bulongwa au Ikonda au Mang'oto ndo nitakuwa mteja wako.
Ninachokuomba utambulisho uwahi mapema zaidi.Nimeambiwa pale mwenge NHBRA kuna U-Rombo mkuu,mashati nk.
ππBwana weeee acha hizo.Sie wa njia moja morogoro rodi.kwetu wote wafupi x2
Bwana weeee acha hizo.Sie wa njia moja morogoro rodi.kwetu wote wafupi x2
Hizi ni dalili za kuuzwa kwa shemeji.mweee mila hizi zitatufikisha pabaya.Kizuri kula na nduguyo?Ngoja nimtafute homeboi, anaweza ku do the needful!
Currently Active Users Viewing This Thread: 7 (6 members and 1 guests) Chrispin, Enny, Kaizer, Noname, Tusker Bariiiidi
Huyu hapa homeboi! Hebu fanza maadvaizi kwa shemejio. Mwaka huu kwetu ni wa kibiashara zaidi. Usisahau Chake ni Changu.
ππpa home boy kuna conflict of interest....mwenyewe si unaona hoja ya ufupi apo juu unahusu?
Hapana sijasema hivo kaka.Hizo sasa ni Stereotypes.Hawa warefu ni mashemeji zangu hivo ni lazima waniunge mkono biashara.Hahahaha kwa hiyo hawa warefu warefu hutaki wawe wateja wako?
ππHapana sijasema hivo kaka.Hizo sasa ni Stereotypes.Hawa warefu ni mashemeji zangu hivo ni lazima waniunge mkono biashara.
Nisamehe Kaizer,sikuwa na nia hiyo.Aftaloo nyerere alitukataza kupanda basi la makabila.ππ
naona UNYANYAPAA WA WAZI KABISA KWA NDUGU YANGU KAIZER
TUGEZA TUNAWAKILISHA!...hivi wewe uko siriaz na hiyo biznec?nataka tuongee kiproffessional zaidiNisamehe Kaizer,sikuwa na nia hiyo.Aftaloo nyerere alitukataza kupanda basi la makabila.
Lets talk Business.Mwaka huu ni kibussiness zaidi.Tunavuka mipaka ya kabila hadi uchina tutafika.lets put our hands tugeza!
Yes ,always.Kila kitu kwangu huwa kinakuja kama zali la mentali.ππ
una bahati kweli
Kizuri kula na nduguyo?
YES I CAN!TUGEZA TUNAWAKILISHA!...hivi wewe uko siriaz na hiyo biznec?nataka tuongee kiproffessional zaidi