Ni miaka sita sasa tangu niishi na mpenz wangu ninaempenda kwa dhati.lakini naona ameanza kunibadilikia.ni kawaida yetu kuonana kila weekend.lakini cku hizi hana mda wa kuonana na mm,cmu akinipigia kwa wiki mara moja au mbili na huwa hana stori ni salamu tu.nikijaribu kumtilia stori za kimahaba huwa hayupo interested wala haonyeshi furaha yoyote.
Nikimpigia cmu hapokei,nikimuuliz a kulikoni anasema yuko bize na kazi.nikimhoji kama nimemkosea au kuna tatizo lolote anasema hapana.
Kwa kweli ananichanganya na kunikosesha raha coz kashanitambulisha kwa wazazi wake na nyumbani anajulikana.nikimwambia umechange ananifokea.WANAJAMII NISHAURINI..
Nikimpigia cmu hapokei,nikimuuliz a kulikoni anasema yuko bize na kazi.nikimhoji kama nimemkosea au kuna tatizo lolote anasema hapana.
Kwa kweli ananichanganya na kunikosesha raha coz kashanitambulisha kwa wazazi wake na nyumbani anajulikana.nikimwambia umechange ananifokea.WANAJAMII NISHAURINI..