Mulika Mwizi, pia jipe moyo, kama Mungu hajapanga muishi wote hatakuoa kwa sababu yoyote ile. Vyovyote vile Mungu anakutakia mema!
Kujihakikishia kama bado unapendwa omba kukaa kwake wiki uone atakavyo kufukuzia mbali.
Ila namuonea huruma nae pia maana atakapokuacha baada ya miaka 2 atajutia uamuzi.
Mpende kiasi, anaefaa kupendwa sana ni Mumeo, sio mchumba!
pole mwaya mdudu keshaingia kokwani mwaya,! sasa ingia jikoni upya, mtafute mtu unayemuaminia aweza kupa mambo kikamilifu, si ya kitandani tu, but pia sectors nyingine, mfano mapishi, kauli nzuri, jaribu kujifanya mpole na kwamba hujachukizwa, ili umzidi kete huyo mdudu kokwani! pole sana.Ni miaka sita sasa tangu niishi na mpenz wangu ninaempenda kwa dhati.lakini naona ameanza kunibadilikia.ni kawaida yetu kuonana kila weekend.lakini cku hizi hana mda wa kuonana na mm,cmu akinipigia kwa wiki mara moja au mbili na huwa hana stori ni salamu tu.nikijaribu kumtilia stori za kimahaba huwa hayupo interested wala haonyeshi furaha yoyote.
Nikimpigia cmu hapokei,nikimuuliz a kulikoni anasema yuko bize na kazi.nikimhoji kama nimemkosea au kuna tatizo lolote anasema hapana.
Kwa kweli ananichanganya na kunikosesha raha coz kashanitambulisha kwa wazazi wake na nyumbani anajulikana.nikimwambia umechange ananifokea.WANAJAMII NISHAURINI..
Kabla ya kuoa niliamini kuwa na mpenzi mmoja ni kutafuta presha!, kumbe kuwa na wengi nayo pia ni presha!
Mila ya wahindi naikubali, hakuna kijana anaejitafutia mke. ni kazi ya wazazi, baada ya kuoa, unaendelea kuishi na wazazi kama kawa!, haijalishi una hela au huna. Na takwimu zinaonesha ndoa zao zinadumu kuliko wengine wote duniani. Tuirudie mila hii ya Mwafrica iliyopotea.
Umenichekesha sana Ndugu, kwani wazazi wake walikiwepo wakati wanaombana kuwa wapenzi? Ha ha haaaaaaaa!!
We mwanzisha sredi ni he/she?
Kama ni she basi STUKA!!
Kama ni he ndugu yangu ukiona manyoya ujue....
kutambulishwa kwa wazazi siku hizi imekua fashion wazazi wenyewe ndo hawa wa siku hizi mmmh...ila pole mumie wala hilo la kutambulishwa lisikupe shida...cha msingi usome alama za nyakati mapemaaaaa na ujue nn kinaendelea kuliko kuendelea kujiumiza roho tuu......investigate n take action mapema mambo ya kusema ooooh tumekaa miaka mingi now days haina mashiko.....pole n take a good care of yaself....cheers
miaka sita?duh sio nakukatisha tamaa,ila huyo mtu hana nia ya kuishi na wewe,maana miaka sita kwa watu wenya nia kinekuwa kimeeleweka.
note:uchumba wa mda mrefu unaeffect kubwa sana maana wewe umeweka 100% kuw aupo nae milele lakini lwenzio kashakutoa vikasor kibao ndo maana siku hizi anaona huna maana tena.
Muombe Mungu akujibu,shida moja ,watu huwa hatukubali majibu ya mungu hasa yanapokuwa tofauti na tunavyotaka,ila nakushauri kubali lolote litakalotokea,maana its for your own good.
polee sana maana inauma unaweza pasuka moyo.
mh,pole bidada. miaka sita mnasubiri nin kufunga ndoa? hyo keshaonesha waz kuwa kakuchoka! mwe stuka. akufukuzaye hakwambii toka.mketishe akupe black and white pia uwe tayar kwa kuachwa!
kwani kasema yeye ni bidada jamani?
pole mwaya mdudu keshaingia kokwani mwaya,! sasa ingia jikoni upya, mtafute mtu unayemuaminia aweza kupa mambo kikamilifu, si ya kitandani tu, but pia sectors nyingine, mfano mapishi, kauli nzuri, jaribu kujifanya mpole na kwamba hujachukizwa, ili umzidi kete huyo mdudu kokwani! pole sana.
hata nikimuliza hasemi chochote.
itakua kuna mtu anamchanganya si bure
mchunguze tu au nenda kwake siku wk end bila kumuambia
Ni miaka sita sasa tangu niishi na mpenz wangu ninaempenda kwa dhati.lakini naona ameanza kunibadilikia.ni kawaida yetu kuonana kila weekend.lakini cku hizi hana mda wa kuonana na mm,cmu akinipigia kwa wiki mara moja au mbili na huwa hana stori ni salamu tu.nikijaribu kumtilia stori za kimahaba huwa hayupo interested wala haonyeshi furaha yoyote.
Nikimpigia cmu hapokei,nikimuuliz a kulikoni anasema yuko bize na kazi.nikimhoji kama nimemkosea au kuna tatizo lolote anasema hapana.
Kwa kweli ananichanganya na kunikosesha raha coz kashanitambulisha kwa wazazi wake na nyumbani anajulikana.nikimwambia umechange ananifokea.WANAJAMII NISHAURINI..
for that case zingatia shule tu ndugu yangu mana elimu ndo mume/mke wa kweli hamtaachana hata ukiingia kaburini mtaingia wote na kuzikwa pamoja.ahsante sn. Ha2wez kuish pamoja coz mm bado ni mwanafunz nnetegemea kuingia chuo mwaka huu.ila ntafata ushaur wko.ahsnt.
We si ungeshukuru, angalau anakupigia simu kwa week mara moja :cool2:
for that case zingatia shule tu ndugu yangu mana elimu ndo mume/mke wa kweli hamtaachana hata ukiingia kaburini mtaingia wote na kuzikwa pamoja.
pole sana! jaribu kufanya utafiti kujua nin tatizo!
Hayo ndo madhara ya uchumba wa mda mrefu!mnachokana kabla hata ya kuoana..pole sana it seems mwenzio ameshapata kipya kinyemi wewe anakuona si lolote tena..