MaweseWife ngozi yake ni delicate sana. Vitu vya jamii ya chuma vinamdhuru kwa kuwashwa na kuota vipele. Poda yenyewe inamsababishia chunusi. Kwa sasa hatumii mafuta yoyote hasa usoni kwani ngozi yake ni ya mafuta pia. Napenda kumwona akiwa na uso mwororo usio na chunusi ila ana hiyo changamoto ya kuharibika ngozi akitumia baadhi ya vipodozi.
Ushauri wenu tafadhali ili na yeye awe na ngozi soft. Atumie vipodozi vya aina gani
Za magadi si ndio zinazidisha kupausha ngozi?Mmhh mwambie ajaribu kupaka mafuta ya Nazi na sabuni ambayo atatumia kunawia uso hata kuogea iwe zile za magadi.. Zile za bluu na nyeupe iviii nadhani sokoni zinapatikana kwa urahisi ..... Ni vitu vya gharama nafuu na pia zinaweza zikamsaidia mwambie ajaribu na hiyo....
Nashukuru kwa ushauri wako. Lakini naona sabuni inasema dry-rough skin. Yeye ngozi yake ya mafuta zaidiAnza kwanza kwa kutoa chunusi alizonazo kwa kutumia hii View attachment 360852
Kwa tsh 10,000 tu utaondoa tatizo hilo then likishaisha tuangalie aina ya ngozi yake then atapata lotion inayomfaa nichek 0714547830
Atapatiwa same soap ila kama ngoz ya mafuta ntampa ya oil skinNashukuru kwa ushauri wako. Lakini naona sabuni inasema dry-rough skin. Yeye ngozi yake ya mafuta zaidi
KwanguSawa, kwa hiyo zinapatikana kwako au zipo madukani?
Mafuta ya nazi hayafai kwa ngozi ya mtu mwenye mafuta sababu yatamuongezea mafuta zaidi.Mmhh mwambie ajaribu kupaka mafuta ya Nazi na sabuni ambayo atatumia kunawia uso hata kuogea iwe zile za magadi.. Zile za bluu na nyeupe iviii nadhani sokoni zinapatikana kwa urahisi ..... Ni vitu vya gharama nafuu na pia zinaweza zikamsaidia mwambie ajaribu na hiyo....
wapi inapatikana hii nshaisikia sana sana ila haipatikani...the best!