mbisom ramos
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 811
- 396
yaani mpaka anaongea na wanaume zake bado unatafuta ushauri nini cha kufanya?
Mteme huyo dada.....
Nampa kila kitu ila mapnz mpaka nimlazimishe thn amekuwa akitaka vitu ambavyo viko nje ya uwezo wangu@sonwin
Tayari kila mtu na mpango wake ila anaongea upuuzi kuhusu mimi
Nina mpnz wangu nampenda sana,nampatia kila kitu anachotaka ila nashindwa kuamini kama ananipenda kweli kwani tabia zake hazieleweki! kwangu anakuja akiwa na shida 2,wakati mwingne anaongea na wanaume zake mbele yangu,pia kuna uvumi kuwa amepiga picha za utupu na zishasambaa....!!!! nashindwa jamani
kwa kweli imefikia hatua watu wanadai ushauri hata pale hawajatatizwa ,..
Tayari kila mtu na mpango wake ila anaongea upuuzi kuhusu mimi