Nishaurini nahisi kuwa na nguvu nyingi za kiume

kaka unamaanisha nai kawaida au unamaanisha nn! cjakupata.
 
kaka kabanga unamaanisha nini kwa kusema hongera? je kawaida?
 
sio ki hivo unavyodhani ila ile yenyewe sio utani, anyway ukiachana na hilo unanishauri nini kaka Zorrender.
 
kaka Tamatheo kaka utoto unaosema umeisha na tatizo liko palepale ushauri nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…