sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Heri ya mwaka mpya wadau.
Kuna mtoto wa shangazi yangu wa kiume (23) alipomaliza chuo mwaka jana 2020 mwezi wa nane kama sijakosea akaja hapa kwangu maana kashapazoea kwasababu chuo anachosoma kipo sehem nayoishi.
Sasa basi ndio ivyo, kwa sasa dogo hana kazi na ninaelewa kwamba kupata kazi ni ngumu lakini sio kisingizio cha kutokuwa na shughuli yoyote, yani akimaliza kazi zile za asubuhi wakati nipo, mimi na wife tukiondoka kwenda job hana shughuli nyingine.
Muda mwingi yupo na simu akisikiliza mziki na kuchat au kucheki mambo ya Insta.
House girl kanipa taarifa tunapokuwa tumeenda kazini mara nyingi marafiki zake wanashinda hapa na kula hapo hapo hadi jioni, watapiga picha zao, kupiga story na hata kuhamishia chumbani kwake game niliyowanunulia watoto wawe wanaichezea weekend (play station 4)
Pia house girl baada ya kumbana, kaniambia huwa anaingiza madem getoni kwake, yeye hakai nyumba kuu anakaa zile za nje, hicho chumba nilitaka kiwe stoo zaidi ya hapo ni mtu wa kushinda sana kitaa.
Kurudi kwao ni ngumu kidogo maana ni vijijini huko, shangazi kaniomba abaki huku huku maana ni mjini na angalau kwa mbali huwa kuna matangazo ya kazi au hata connection.
Nifanye nini awe busy wakuu.
Kuna mtoto wa shangazi yangu wa kiume (23) alipomaliza chuo mwaka jana 2020 mwezi wa nane kama sijakosea akaja hapa kwangu maana kashapazoea kwasababu chuo anachosoma kipo sehem nayoishi.
Sasa basi ndio ivyo, kwa sasa dogo hana kazi na ninaelewa kwamba kupata kazi ni ngumu lakini sio kisingizio cha kutokuwa na shughuli yoyote, yani akimaliza kazi zile za asubuhi wakati nipo, mimi na wife tukiondoka kwenda job hana shughuli nyingine.
Muda mwingi yupo na simu akisikiliza mziki na kuchat au kucheki mambo ya Insta.
House girl kanipa taarifa tunapokuwa tumeenda kazini mara nyingi marafiki zake wanashinda hapa na kula hapo hapo hadi jioni, watapiga picha zao, kupiga story na hata kuhamishia chumbani kwake game niliyowanunulia watoto wawe wanaichezea weekend (play station 4)
Pia house girl baada ya kumbana, kaniambia huwa anaingiza madem getoni kwake, yeye hakai nyumba kuu anakaa zile za nje, hicho chumba nilitaka kiwe stoo zaidi ya hapo ni mtu wa kushinda sana kitaa.
Kurudi kwao ni ngumu kidogo maana ni vijijini huko, shangazi kaniomba abaki huku huku maana ni mjini na angalau kwa mbali huwa kuna matangazo ya kazi au hata connection.
Nifanye nini awe busy wakuu.