Nishaurini SPACIO X LIMITED SPECIAL PACKAGE 4WD

Nishaurini SPACIO X LIMITED SPECIAL PACKAGE 4WD

infomania

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2014
Posts
242
Reaction score
159
Habari wadau,

Nimetokea kuipenda hii gari TOYOTA COROLLA SPACIO X LIMITED SPECIAL PACKAGE 4WD ingawa ni model ya zaman kidogo lakini kibongobongo nazani litanifaa na nadhani spare zake zitaendelea kupatikana kwa miaka kadhaa ijayo. Bajeti yangu ni 12 M kilichonifanya nilipende ni kuwa,
Lina seat 7
Lina VVTI engine ambazo mafundi wengi wanajua namna ya kuzitengeneza
Ni 4WD ila nadhani ni fulltime. Eti hii hufanya gearbox ichoke haraka????????
Ni familia ya Toyota Corolla ambazo ni gari affordable kwangu maintenance wise.
Matumizi yangu hasa ni kutumia kwenda safari za ndani ya Dar na mara chache chache may be mara 4 kwa mwaka kwenda Tanga, Moshi na Arusha. Nimecheki TRA nikaona kodi yake ni around TZS 6,279,778.24. Ambalo nimeliona mtandaoni na kulipenda limetembea km 83,000. Je kwa hizi km litakuwa lipo poa???
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Nb. Nilifikiria kununu Toyota ISIS ila naona nyingi engine zake ni valve matic na VVTI D4 ambazo nadhan kibongobongo ni pasua kichwa.
SPACIO.jpg
SPACIO KODI.png
 
Brother aisee lipia hyo Gari hutajuta me ninayo nilichukua tangu last year ni mwaka sasa KM 150 naenda kwa lita 10 naenjoy balaa na niko mbeya Safari za Tunduma kyela naenda Bila mawazo haijawahisumbua hata kidogo
 
Brother aisee lipia hyo Gari hutajuta me ninayo nilichukua tangu last year ni mwaka sasa KM 150 naenda kwa lita 10 naenjoy balaa na niko mbeya Safari za Tunduma kyela naenda Bila mawazo haijawahisumbua hata kidogo
Yes mkuu ya kwako ni ya 4wd? maana kuna mtu kanitisha anasema nichukue ya 2wd maana ya 4wd inachoka haraka na itaanza kutumia mafuta mengi punde tu baada ya kutembea km chache hapa bongo.
 
Yes mkuu ya kwako ni ya 4wd? maana kuna mtu kanitisha anasema nichukue ya 2wd maana ya 4wd inachoka haraka na itaanza kutumia mafuta mengi punde tu baada ya kutembea km chache hapa bongo.
Ni 2wd Brother
 
Back
Top Bottom