Mkuu jipe imani tu kwamba hiyo chanjo yao itabaki tu kuwa maji mwilini mwako, ili upate uhuru wako wa kurejea nyumbani.Ukichanja ndiyo bas tena
Huwez danganya kuwa umepata chanjo mzee wana Scan isiposoma unarudishwa
Hakuna ujanja huku
Mimi nipo Denmark utaratibu ndiyo huo nimeshindwa kurud home sababu ni hiyo scanner huwez danganya nimegoma kuchanja bora nife huku huku tuu ila sichanji
nime ipenda hii mkuu ume nitia moyo sanaMkuu usiwe na hofu nenda kachanje, kama kuna hila yoyote mbaya kuhusiana na hiyo chanjo haiwezi kukuathiri moja kwa moja kwa kuwa Mungu anayo namna ya kulinda watu wake regardless wamewekewa mtego gani......Mtume Paulo aling'atwa na nyoka, watu walipofikiri kwamba madhara au kifo kingemfika wakaona jamaa hana wasiwasi wowote, yeye ndo akawa anawashangaa kuona wanamkazia macho.
Duuh hii ni hatariUkichanja ndiyo bas tena
Huwez danganya kuwa umepata chanjo mzee wana Scan isiposoma unarudishwa
Hakuna ujanja huku
Mimi nipo Denmark utaratibu ndiyo huo nimeshindwa kurud home sababu ni hiyo scanner huwez danganya nimegoma kuchanja bora nife huku huku tuu ila sichanji
na ndio maana nahofia chanjo
Wasiwasi ndio akiliNi sawa mkuu ila moyo bado una goma goma mkuu
Mkuu wanaokushauri uchanje ni wajinga na hawajui wanachosema, mimi nakushauri usichanje kama afya yako ni tia maji tia maji.na ndio maana nahofia chanjo
Tafta nesi mpe 100k akujazie form kama umechanjwa upate cheti uendelee kufanya shughuli zako.
Ukichanja ndiyo bas tena
Huwez danganya kuwa umepata chanjo mzee wana Scan isiposoma unarudishwa
Hakuna ujanja huku
Mimi nipo Denmark utaratibu ndiyo huo nimeshindwa kurud home sababu ni hiyo scanner huwez danganya nimegoma kuchanja bora nife huku huku tuu ila sichanji
Hujamsaidia jibu Mkuu.Akisema Chanjo atachanja,akisema Elimu ,atachanja.ukimung,unya nchale,ukitema nchale.Kwani chanjo na Elimu kipi muhimu kwa upande wako sasa hivi ?
Kwa KWELI kama unaongia kwenye international affairs you have no option Kula chanjo mwanawane,achana na Gwajimaism! Ila mimi Nina hofu zaidi na story hizi kwa hizi attachments ,naona maelezo haya yamekiuka KATIBA yetu na JMT Iimetupiga tekeHabari ndugu zangu.
Nisiwachoshe niende kwenye mada
Nina SCHOLARSHIP TATU.
1. Oslo university NORWAY
2. Kenyatta univesity, Nairobi KENYA
3. Maseno university, Kisumu KENYA.
Kusoma degree ya pili.
Sasa naogopa nasikia mipakani au kusafiri ni lazima uchanjwe au uwe na certificate ya Corona.
Nawaza mno nakosa majibu, muda unazidi kwenda na vyuo vimeanza, na tayari nilipata Online orientation.
Nishaurini wakuu, ni mtumishi na mwajiriwa serikalini.
[emoji120][emoji120][emoji120]
View attachment 1926728
Yaani msomi wa Chuo kikuu Bado unamsikiliza GwajimaHabari ndugu zangu.
Nisiwachoshe niende kwenye mada
Nina SCHOLARSHIP TATU.
1. Oslo university NORWAY
2. Kenyatta univesity, Nairobi KENYA
3. Maseno university, Kisumu KENYA.
Kusoma degree ya pili.
Sasa naogopa nasikia mipakani au kusafiri ni lazima uchanjwe au uwe na certificate ya Corona.
Nawaza mno nakosa majibu, muda unazidi kwenda na vyuo vimeanza, na tayari nilipata Online orientation.
Nishaurini wakuu, ni mtumishi na mwajiriwa serikalini.
[emoji120][emoji120][emoji120]
View attachment 1926728
Ni zaidi ya laki maana Kule siyo mtu mmoja hapo ata Dili na kikundi cha watu asipokuwa makini ataishia TAKUKURUTafta nesi mpe 100k akujazie form kama umechanjwa upate cheti uendelee kufanya shughuli zako.
Simlaumu yeye, ni wahusika wa hizi taaluma walikubali kudanganya watu hapo kabla , sasa leo wanapobadilisha maneno watu wanapata wasiwasi.Yaani msomi wa Chuo kikuu Bado unamsikiliza Gwajima