Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Nishawai toka kyela hadi Mbeya na Manzi na sikumsemesha neno lolote!!
Alinikuta nimekaa hakusalimia nikasema wacha niupokee huu mpira kama ulivyokuja!!
Ama nilizingua?
BRAZA CHOGO
Nikifa MkeWangu Asiolewe Han Kyul
Alinikuta nimekaa hakusalimia nikasema wacha niupokee huu mpira kama ulivyokuja!!
Ama nilizingua?
BRAZA CHOGO
Nikifa MkeWangu Asiolewe Han Kyul