Nishawai toka Kyela hadi Mbeya na Manzi na sikumsemesha neno lolote!!

Siku moja nilikuwa kwenye hice naenda kazin akaja dada mmoja akakaa Siti ya pemben hakunisalimia gari ikaondoka njian konda akachukua vyake Yule dada akampa konda 5000 konda akamludishia 3000 mda wote huo alikuwa hajanisemesha chochote sasa alivyorudishwa hiyo chenji ndio akaniuliza nauli ya hice bei gan??!
Nikamjibu elfu Saba, sipendi ujinga Mm
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Acha roho mbaya!
Hii inaitwa Ubaya Ubwela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…