Kwan akivaa fake Kuna tatizo gani ,au alijibadi kama kawaida yao
Hamna la kushangaza, mbona tuna mheshimiwa mtarajiwa ana rangi feki, sauti feki, makalio feki, hata kazi yake feki,...ila usimchezee mashabiki wake wanaweza kugeuza diwani awe mfalme!:A S wink: