Habari zenu wadau, niko mkoani nina familia ya watoto wawili, mpaka hapa sijajua kesho naamkia wapi, familia itakula nn. Sina hata ile inayoitwa mia sina mchongo wowote sina connection yoyote.
Habari zenu wadau, niko mkoani nina familia ya watoto wawili, mpaka hapa sijajua kesho naamkia wapi, familia itakula nn. Sina hata ile inayoitwa mia sina mchongo wowote sina connection yoyote.