Jamani wana JF hasa katika safu hii, sasa niombe tu utaalamu wenu kuhusu yepi ya msingi sana katika kufanya ndoa iwe imara daima.
maana kuna yale ya chumbani, mitoko, mishiko na mavazi. sasa je ni lipi hasa kwa wanawake ili wasahau na kukuona ni wewe tu, akasahau wengine. na zaidi sana akawa anahitaji kila wakati mnakumbushia yale mambo yetu?
naombeni lipi la msingi na kwa namna gani ili akutamani siku zote
Hapa ni suala la kuroga bila kwenda kwa bibi, Unajua kuna watu ambao kuna mambo yakifanyika basi hata kama vipi lakini ni yeye na wewe tu. na yale mambo yetu ndo kwanza utachoka mwenyewe. Otherwise kesho tu ushakuwa na mwingine, mara oooH fataki, mara ushaachana naye. sasa hayo si mazuri lazima wataalamu wanaojua watwambie nini tufanye???????Kwani nyinyi ni MALAIKA? Ku-bore ni muhimu once and while - ina tend ku-ignite mahusiano..Basi ni hilo tu
1.mwambie akwambie nini anataka umfanyie ili asikie raha ,aman na ajiskie ni MWANAMKE APA DUNIAN
2.Mwambie akwambie anataka wewe uweje ili ajiskie yap ths iz ma men
3.mshirikishe kwenye plans zako ..i itamjengea sense of security n comfort kimapenz na threat nyngne za wanawake wa nje..atajiisi yupo pekeake
4.mwonyeshe km yeye tu ndo anakuown,yeye tu ndo mwenye hati miliki bin lesen juu yako
5.vijizawad ,care na concern nyingne apo mjomba lazima atajiona cleopatra ....KM SI KUNGURU BT KM NI KUNGURU ATA UKIMFANYIA AYO YOTE HATAONA ..atakuona mbwisi tu.
so b carful kwa yule unayemwonyesha mapenz..unaaweza ukamvesha shera nyeupe nguruwe wakat si staha yake ...staha ya nguruwe matope....banda lenye cement mbwembwe...!!!!!1
karibu tujirambe....chai miogo chachandu.....!!!!
1.mwambie akwambie nini anataka umfanyie ili asikie raha ,aman na ajiskie ni MWANAMKE APA DUNIAN
2.Mwambie akwambie anataka wewe uweje ili ajiskie yap ths iz ma men
3.mshirikishe kwenye plans zako ..i itamjengea sense of security n comfort kimapenz na threat nyngne za wanawake wa nje..atajiisi yupo pekeake
4.mwonyeshe km yeye tu ndo anakuown,yeye tu ndo mwenye hati miliki bin lesen juu yako
5.vijizawad ,care na concern nyingne apo mjomba lazima atajiona cleopatra ....KM SI KUNGURU BT KM NI KUNGURU ATA UKIMFANYIA AYO YOTE HATAONA ..atakuona mbwisi tu.
so b carful kwa yule unayemwonyesha mapenz..unaaweza ukamvesha shera nyeupe nguruwe wakat si staha yake ...staha ya nguruwe matope....banda lenye cement mbwembwe...!!!!!1
karibu tujirambe....chai miogo chachandu.....!!!!
thak uHii naomba niicopy na kuiweka kwenye Note book yangu, na kama una nyongeza?
Nahisi harufu ya ukweli
we waonyesha wayajua sana sasa inakuaje ni nataka uyafanye kwangu..
yan nipe...... nikupe ...niweke... niongeze makeke... nkimaliza ncheke
utatake mi nkufanyie?we waonyesha wayajua sana sasa inakuaje ni nataka uyafanye kwangu..
yan nipe...... nikupe ...niweke... niongeze makeke... nkimaliza ncheke
Japo nahitaji kuelewa zaidi lakini Hahisi haya nayo ni ya msingi, Hii bing bang hii inakaaje tena?:hippie:
mabata madogo dogo yanaogeleeeeeeeea yanaogelea katika shamba zuri la bustan..............malizia
ushatoka shule?
Mwalimu kasemaje?
uko ndo kunakokufaa due to yr...hapana tunaimba ule wimbo wa "sasa sasa saa yakwenda kwe2 kweeri mwalim kwaeri tutaonana keshoo.....