Kweli kabisa kuna watu wanapenda kuingilia privacy za mtu. Ukipost hichi wanapondaNa mimi kuanzia leo sipangiwi kitu cha kupost humu maana simu ni yangu, bundle ni langu na hata wakati nanunua nilikwenda dukani mwenyewe na kuchagua aina ya simu mwenyewe. Sipangiwi!
Mimi ndio naamu hiki ni post jukwaa hili, kile kikae jukwaa lile, msiniingilie...
Na wasihamishe post zako kwakuwa wewe ndio mjuvi wa kila jambo!Na mimi kuanzia leo sipangiwi kitu cha kupost humu maana simu ni yangu, bundle ni langu na hata wakati nanunua nilikwenda dukani mwenyewe na kuchagua aina ya simu mwenyewe. Sipangiwi!
Mimi ndio naamu hiki ni post jukwaa hili, kile kikae jukwaa lile, msiniingilie...
Post ya kiakili sana hyo.Na mimi kuanzia leo sipangiwi kitu cha kupost humu maana simu ni yangu, bundle ni langu na hata wakati nanunua nilikwenda dukani mwenyewe na kuchagua aina ya simu mwenyewe. Sipangiwi!
Mimi ndio naamu hiki ni post jukwaa hili, kile kikae jukwaa lile, msiniingilie...
Acha kuwapangia mods kazi ya kufanya!!Ntafurahi kama mods wakatupiga ban members wote kwa masaa 24 ili tuisome namba kidogo
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Utakachopangiwa ni ndoo ya kunyea tu.