Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,049
Huwezi kukaa JF bila kukenua meno.Basi wewe ungekuwa wa kwangu ungefaidi sana maana mimi kugomba ndio ugonjwa wangu..
Mkuu ukiendekeza kujenga taifa huku mahusiano yanabomoka jitahidi kutenga muda kwaajili ya mambo yoye tafuta pesa lakini kumbuka kuwa kumdekeza mkeo nae ninjukumu lako baba. Watu tuna waume wako bize kuliko serikali na bado tunapata time ya kudekezwa jamaniHuu muda wa kufanya yote haya mnapata wapi?
Ndugu yangu, wasamehe dada zako hawajui wanataka nini[emoji2][emoji2][emoji2]Cute love sio ww tu. Kwa nyakati tofauti na wanawake tofauti nimeshawahi kuambiwa kiyu kama hiko. Nikashindwa kuelewa ni mafatizo ya omon au hisia? Maana kama mnapenda kupetiwa, kupendwa then inakuwaje mnavutiwa na vipigo?
Aiseee. Poleni sana.Mkuu ukiendekeza kujenga taifa huku mahusiano yanabomoka jitahidi kutenga muda kwaajili ya mambo yoye tafuta pesa lakini kumbuka kuwa kumdekeza mkeo nae ninjukumu lako baba. Watu tuna waume wako bize kuliko serikali na bado tunapata time ya kudekezwa jamani
Utafanyaje kumzuia...please sema tujueMimi sipendi kugombezwa. Nikikosea niambie kistaarabu tu nitaelewa. Ila Yale ya kupandishiana sauti hapana. Kwanza sikupi hiyo nafasi.
Kuna watu huwa mnachokoza shetani kwa makusudi yaani hupigwi na bado unalalamika haki nakwambia ungepata wa kukupiga hadi unatoka manundu kama Madenge ndio ingekua Sawa.Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha
Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi
Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda
Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi
Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
Asipokupa hela je? ???Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha
Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi
Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda
Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi
Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
HahahhaBasi wewe ungekuwa wa kwangu ungefaidi sana maana mimi kugomba ndio ugonjwa wangu..
Vipi nikikuita ndani nikakugombezea huko? By the way kubwatuka na kugombeza sio kitu kimojaMie niko tofauti,asinigombeze aniite ndani tuonge kama nimekosea sioni tabu kuomba msamaha na ntajitahidi nifanye nnachoweza mpaka unisamehe ila sio kunubwatukia hivyo sipendi kabisaaa..
Kuna wanandoa niliwahi kuishi nao jirani yaani Kuna wakati unaona kabisa mwanamke anatafuta kipigo. Halafu akishapigwa kesho yake utamsikia (na alikuwa anabwatukia uani tu kila mtu anasikia) dah baba Juma jana kanidunda kweli ila mimi mwenyewe nilimchokoza! Ni shida.Wakati nikiwa mdogo kuna jirani yetu alikuwa ni mlemavu wa miguu. Ikatokea siku anaongea na wenzako leo mwili waniwasha kweli. Hebu arudi baba naniii nimchokoze anidunde
Hahaha hujakutana na mtu anayejua kugomba na kutoa kichapo. Utatoa nafasi bila kupendaMimi sipendi kugombezwa. Nikikosea niambie kistaarabu tu nitaelewa. Ila Yale ya kupandishiana sauti hapana. Kwanza sikupi hiyo nafasi.
Kuna watu mnachanganya habari. Huyu mleta mada ni ile aina ya wanawake ambao wakati unamsema yeye anakuwa katulia kwa adabu, yaani Kama mwanao vile. Sio kwamba anapenda kurushiana manenonaondoka. hasira zikiisha narudi. kwanza sikumbuki kuwa chanzo cha kugombana na mwanaume mpaka kufikia hatua ya kurushiana maneno.
Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha
Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu kuna sehemu huwa ninakosea lakini mpenzi hanigombezi au haniulizi makosa niliyofanya,huwa nahisi sipendwi
Mwanaume anapokuwa ananigombeza hadi najikuta nalia,najikuta nahisi kupendwa na mwanaume huyo,na huamini kuwa mwanaume huyo ananipenda
Asiponigombeza huwa nahisi kuna mwanamke mwingine anayempenda tofauti na mimi
Naombeni mnisaidie,ni kwangu tu au kuna wengine hali hiyo huwa inawatokea
Mapenzi hayana kanuni kama hizi wewe. Kinachofanya kazi kwako sio lazima kifanye kazi kwa mwingine.Labda ru niwaambie tu dada zangu,ukitaka kujua hampendani kiukweli basi kipimo ni ukiona drama haziishi au bila drama maoenzi km yanapoa hivi naukitaka kujua mmeanza kupendana basi kila mtu anakinai drama,kila mtu anahisi ni upuuzi hapo ujue mnatoka kwenye illusions of love mnaingia kwenye true love sasa.
ExactlyMie niko tofauti,asinigombeze aniite ndani tuonge kama nimekosea sioni tabu kuomba msamaha na ntajitahidi nifanye nnachoweza mpaka unisamehe ila sio kunubwatukia hivyo sipendi kabisaaa..