Dah mkuu umekuwa sentimental hadi umenitoa uchozi, jama uchozi, uchozi........uchoziiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Nalia miye jama kwa nini lakini tunachakachua nje hali tumeoa bila kulazimishwa????!!!!!!!!! Jamani tuwahurumie viumbe hawa wa Mungu na tujihurumie sisi wenyewe.............Jamani jamani leo nimetolewa uchozi na kiibodi.Hivi kwa mfano ukisikia kuwa huyo mkeo anatafuta mwanaume wa pembeni amridhishe kimapenzi wewe ungejisikiaje?
kama jibu sitakubali basi ujuwe huna haki ya kuanzisha mahusiano na huyo kimada. Lazima tuwahurumie na kuwatunzia heshima wake zetu kwani wanatufanyia mengi sana kwa mapenzi yao juu yetu.
Angalizo:
tusisahau hawa viumbe wana mioyo kama sisi ambayo inauma pale inapochomwa na kuachwa ikiuguza majeraha makubwa.
Aisee inavyoonekana shetani alishaamka muda mwingi sana hapa. Inabidi jamaa afanye kazi ya ziada kumtawanya huyu mdudu shetani.........achana na kitu utamu bana especially kinapokuwa accessible asikwambie mutuuuuuu.Aisee mimi sio mtaalam ila naona hiyo kitu unataka kufanya haijakaa njema chalii.
Mapenzi hayana siri halafu huo mgogoro wako na mkeo ni wa mpito tu.
Naona kama vile unatafuta pumziko nje.
Rudi kwa wife upesi kabla shetani hajaamka.
Kama mchangiaji wa kwanza katika hii mada yako naweza kukueleza tu kuwa unataka kuanza uhuni sasa, kwa nini usikae chini na mkeo mkazungumza tofauti zenu kabla ya kumfikiria huyo mwingine?....Nitaendelea kuwepo.......
Aisee mimi sio mtaalam ila naona hiyo kitu unataka kufanya haijakaa njema chalii.
Mapenzi hayana siri halafu huo mgogoro wako na mkeo ni wa mpito tu.
Naona kama vile unatafuta pumziko nje.
Rudi kwa wife upesi kabla shetani hajaamka.
Sasa baba uhusiano wa siri sana halafu uwe wa kawaida hapa kama umetuchanganya.Ok simple like this,usitafakari wala kuchukua hatua.Kama anakuja anakaa kaa kwenye meza yako weka upupu komesha kabisa yeye!!
Hivi amelala eeh?
Mi naona wameshatongozana tayari hapo kwa muktadha wa ile sredi ya Miss Judith.
Ushauri wangu kwa kweli kwenye hili, nadhani utoe hofu kisha ufanye kile ambacho unadhani ni sahihi
sasa hivi hauko sawa kisaikolojia hivyo kwepa kufanya maamuzi mazito.
Nimeshasikiliza ushauri mwingi na kimsingi nashukuru wote kabisaaaaaa.Dena umeoonaeeeeeeeee best yangu!!!!!!!!! hapo ndipo wanaume mnaponichanganya akili, mnaniudhi sana!! baada ya kusolve tatizo na mkeo unaona suluhisho ni kutafuta nyumba ndogo!!aaaaaaaaaahhh
Tafadhali naomba usilie, maana ni hatua ya mbali sana na kama ingekuwa tayari hivyo basi isingekuwa sahihi kutumia bandwidth za JF kuleta jambo lililooza tayari.Dah mkuu umekuwa sentimental hadi umenitoa uchozi, jama uchozi, uchozi........uchoziiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Nalia miye jama kwa nini lakini tunachakachua nje hali tumeoa bila kulazimishwa????!!!!!!!!! Jamani tuwahurumie viumbe hawa wa Mungu na tujihurumie sisi wenyewe.............Jamani jamani leo nimetolewa uchozi na kiibodi.
We husninyo hujambo lakini..........Unajua nimeanza kutamani kulipa maana yake jina langu kwako......unasemaje sasa?
Mjukuu wangu huyo.....haya nimekuelewa mjukuu. Ila bibi yako amesema uwe unakuja kumsaidia saidia mke mwenzie manake siku hizi amechoka choka na uzee lol.sijambo shikamoo babu.
Bibi hajambo?
Mwambie mjukuu wake wa nje husninyo anamsalimia. Sawa eeh?
Udumu ubibi na ubabu!! Amen.