makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nakubali kabisa, alimtoa lakini haikuwa wepesi.Waydad huyu huyu ndie aliemtoa Mamelodi kwenye caf champions league semi final mwaka huu 2023. Pale pale south africa mwechi ya marudiano waydad alipata magoli mawili.
Waydad anajua sana kucheza na Mamelodi
Esperance ndio timu naona bora kwa Africa ikifatiwa na MamelodiKwangu mm Raja ndio timu inayocheza mpira mzuri kati hao wote!!
Kabsa tatizo sisi Weusi huwa hatuna msimamo wa kwenye mambo yetu yani Mafanikio kidogo tu tunajisahau na Kuanza kuridhika badala ya Kuongeza nguvu zaidi.
Waarabu ni haki yao tu kuendelea kutawala soka la Africa maan kwanz wanawekeza pesa nyingi kweny mpira na pia Kila sekta imeimarishwa kuanzia Scouting Management, Benchi la Ufundi, waalimu wa saikolojia, viongozi wenye Knowledge ya Mpira etc....
Pamoja sana MkuuUmeongea kimwana michezo haswaa, kujiamini, kuwa na msimamo pia
Mimi ni MuftiMchungaji tafadhali pita pembeni, huu uzi hauwahusu wenye chuki, udini na ubaguzi
wapi nimetaja ubaguzi dini? au wapi nimeandika siwapendi waarabu?Wengi hawawapendi waarabu, ila tukubali tukatae wanajua mpira, mshabiki na mwanamichezo hawawezi kukaa sehemu moja, so wengi wapo kishabiki na kuingiza ubaguzi na udini
Jana walinifurahisha saana, yaani mpira hauwatoki miguuni, pass zinafika zinakotumwa hatari saaanView attachment 2805704
Nimefurahi sana kwa ushindi wa jana wa Wydad Casablanca dhidi ya mamelodi, mafundi wa Morocco hao katika jiji la Casablanca, Wydad 2-1 mamelodi
Nisiwe mnafiki, Wydad na Raja Casablanca hawastahili kucheza mashindano ya Afrika, kwa wale wanamichezo na si mashabiki watakua wamenielewa, kwa wale wanaoshabikia kwa kigezo cha uafrika/Rangi, mada hii haiwahusu, wakae pending.
Asilimia kubwa ya watu duniani wanawachukia waarabu, japo sio wote, so kwanini uwachukie!! Wamekosa nini hawa watu!!. kuna msemo unasema, "Mti wenye matunda hupigwa mawe" tukubali tukatae waarabu wanajua mpira, wanajua kuucheza mpira watakavyo, hata uwachukie vipi huwapunguzii chochote, ndio kwanzaa wanapeleka[emoji91][emoji91][emoji91] najua asilimia kubwa ya mashabiki wa huku wapo upande wa Mamelodi, sasa mtu huyu kweli utajadiliananae vipi kwenye suala la mpira!! Ni kupoteza muda tu. Huyo mamelodi ni nguvu ya soda tu, many times hafiki kokote, end of the day anatolewa na mnae mchukia/mwarabu, waliobarikiwa, hawatumii uchawi/ushirikina.
Anaejua anajua tu
Nwivu.aism
Tukemee ubaguzi, chuki, roho mbaya na wivu.
Moderator nawaomba msifute uzi huu, kuna nyuzi hazina vichwa wala miguu na mnaziacha, kuna nyuzi za upande wapili za udini, ubaguzi na chuki lakini mnapita kama hamzioni, sasa kwa leo tu nawaomba muuache uzi huu.
Waydad hana mpira wowote wa maana.
Raja casablanca na Al ahly wanacheza mpira mzuri kuliko waydad.
Waydad ana bahati ya kufunga magoli tu. Ama kupiga faulo za kukuchonganisha ujifunge mwenyewe.
Nafasi ambazo Al Ahly amezitengeneza kwenye mechi zake AFL angezipata waydad hao Simba ama Mamelodi angepigwa kipigo cha Yanga.
Waydad hajui kutengeneza nafasi nyingi. Nafasi chache anazozipata anazitumia vizuri ndio maana huwa anafika mbali
Jana walinifurahisha saan,yaan mpira hauwatoki miguuni,pass zinafika zinakotumwa hatari saaan
Hivi Wydad Casablanca na mamelodi Nani anacheza soka Safi?
Mi nirudi kwenye hii point ya chuki
Ukweli ni kua hakuna mtu anachukiwa eti kisa ni mwarabu na wapo basi ujue kuna sababu na si bure
Nizungumzie kwa hapa afrika
Kwa muda sasa warabu wanekua hawa pendwi hapa afrika kwa sababu wao pia hawa ipendi afrika yaan wao wako hapa ila wana jiona kua sio Part ya hili bara na uko kwao kuna ubaguzi mkubwa sana kwa wafrika weusi
Uarabuni namanisha wa kazkazin mwa afrika mpak leo wana tuchukulia watu wa daraja la pili
We jamaa umeandika nini hapa?Waydad hana mpira wowote wa maana.
Raja casablanca na Al ahly wanacheza mpira mzuri kuliko waydad.
Waydad ana bahati ya kufunga magoli tu. Ama kupiga faulo za kukuchonganisha ujifunge mwenyewe.
Nafasi ambazo Al Ahly amezitengeneza kwenye mechi zake AFL angezipata waydad hao Simba ama Mamelodi angepigwa kipigo cha Yanga.
Waydad hajui kutengeneza nafasi nyingi. Nafasi chache anazozipata anazitumia vizuri ndio maana huwa anafika mbali
Mkuu sikatai ubora wa Wydad ila Mamelodi kama wanavyojiita the Brazilian wanafurahisha kuwatazama.View attachment 2805704
Nimefurahi sana kwa ushindi wa jana wa Wydad Casablanca dhidi ya mamelodi, mafundi wa Morocco hao katika jiji la Casablanca, Wydad 2-1 mamelodi
Nisiwe mnafiki, Wydad na Raja Casablanca hawastahili kucheza mashindano ya Afrika, kwa wale wanamichezo na si mashabiki watakua wamenielewa, kwa wale wanaoshabikia kwa kigezo cha uafrika/Rangi, mada hii haiwahusu, wakae pending.
Asilimia kubwa ya watu duniani wanawachukia waarabu, japo sio wote, so kwanini uwachukie!! Wamekosa nini hawa watu!!. kuna msemo unasema, "Mti wenye matunda hupigwa mawe" tukubali tukatae waarabu wanajua mpira, wanajua kuucheza mpira watakavyo, hata uwachukie vipi huwapunguzii chochote, ndio kwanzaa wanapeleka[emoji91][emoji91][emoji91] najua asilimia kubwa ya mashabiki wa huku wapo upande wa Mamelodi, sasa mtu huyu kweli utajadiliananae vipi kwenye suala la mpira!! Ni kupoteza muda tu. Huyo mamelodi ni nguvu ya soda tu, many times hafiki kokote, end of the day anatolewa na mnae mchukia/mwarabu, waliobarikiwa, hawatumii uchawi/ushirikina.
Anaejua anajua tu
Not Racism
Tukemee ubaguzi, chuki, roho mbaya na wivu.
Moderator nawaomba msifute uzi huu, kuna nyuzi hazina vichwa wala miguu na mnaziacha, kuna nyuzi za upande wapili za udini, ubaguzi na chuki lakini mnapita kama hamzioni, sasa kwa leo tu nawaomba muuache uzi huu.
Mkuu sikatai ubora wa wydad ila mamelodi kama wanavyojiita the Brazilian wanafurahisha kuwatazama .
Vipi waarabu Koko wakoUliangalia game iliyopita ya al ahly?
Uliangalia game ya wydad na mamelodi?
Pia brazil wana maajabu gani kwa sasa? Kila timu na zama zake, kwa sasa Argentina anatamba, unatamani kuwaangalia tu. So kwangu Wydad Casablanca na Raja Casablanca hawana mpinzani, na takribani miaka yote waarabu wanafanya vizuri, huyo mamelodi wako mnaemsifia kila siku anaishia njiani, hakuna timu hapo.
AahaaaKuna mtu alisema timu za bongo haziwezi kushinda against timu za North Africa sababu wao wanaona fahari kufungwa na waarabu sasa naanza kuelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwisha habari yako, hapo una maumivu makali.Uliangalia game iliyopita ya al ahly?
Uliangalia game ya wydad na mamelodi?
Pia brazil wana maajabu gani kwa sasa? Kila timu na zama zake, kwa sasa Argentina anatamba, unatamani kuwaangalia tu. So kwangu Wydad Casablanca na Raja Casablanca hawana mpinzani, na takribani miaka yote waarabu wanafanya vizuri, huyo mamelodi wako mnaemsifia kila siku anaishia njiani, hakuna timu hapo.