MICHAEL BENJAMIN
Member
- Sep 24, 2024
- 11
- 17
Jamani naomba msaada kati ya bachelor of accounting with IT na bachelor in IT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakupata hapoBora bachelor.
Hainaga usumbufu wa wake wenza
Aisee,Jamani naomba msaada kati ya bachelor of accounting with IT na bachelor in IT
Haujafafanua msaada gani ama upi unao utaka kwenye hizo bachelors ulizo zitaja kinaja...🤨Jamani naomba msaada kati ya bachelor of accounting with IT na bachelor in IT
Coz nataka kujua ipi nzuri kati ya hizoAisee,
Zote ni hot cake sasa hapo ni wewe huku umatemate upo na huku umatemate upo zaidi jikague unapenda niniJamani naomba msaada kati ya bachelor of accounting with IT na bachelor in IT
Zote ni hot cake utofauti huku ni uhasibu plus IT na huku ni IT tu bila uhasibu kwa hio chagua wewe unataka kipi hapo unataka kua mwasibu au unataka kua afisa tehamaCoz nataka kujua ipi nzuri kati ya hizo
Nataka kujua ipi kati ya hizo ni nzuri na vipi kwenye soko lake la ajiraHaujafafanua msaada gani ama upi unao utaka kwenye hizo bachelors ulizo zitaja kinaj
Title yako na content vinahusianaje?Coz nataka kujua ipi nzuri kati ya hizo
Zote ni hot cake utofauti huku ni uhasibu plus IT na huku ni IT tu bila uhasibu kwa hio chagua wewe unataka kipi hapo unataka kua mwasibu au unataka kua afisa tehamaCoz nataka kujua ipi nzuri kati ya hizo
Zote ni nzuri wewe Fisi unataka kula karamu 2 kwa wakati mmoja jikague wewe unapenda kufanya kazi ipi passion yako ni ipi kisha fuata moyo wako, tumeshakupa muongozoNataka kujua ipi kati ya hizo ni nzuri na vipi kwenye soko lake la ajira
Anashindwa kujua anapenda nini masikini ya MunguTitle yako na content vinahusianaje?
Unafikiri hata ukipata hiyo bachelor utabadilika nini?
Mnasoma mkiwa wadogo sana.
Hatari sana! Ila inashangaza sana jamani!Anashindwa kujua anapenda nini masikini ya Mungu
Hapo ni suala la kuamua yeye hizo zote zipo sokoni ingawa hio ya uhasibu ndio soko lipo moto sana kwa hio ni kuchangua abige account akimaliza asubirie dirisha la ajira au aunge achukue CPA asubirie kula mema ya nchi au la apige tehama akimaliza aongezee mambo mambo mengine huko anayoyapenda yeye masters Phd au certification zingine km CCNA nkHatari sana! Ila inashangaza sana jamani!