Wakati nipo form four mwaka 2002 electronic ilikuwa ipo juu sana nilipofika form six. 2005 information technology ikawa juu.
Mwaka 2006 naabza chuo accoutancy ikaja juu. Sijui umetokea kozi zipi vitu hubadilika kutokana na demand ya ajira.kwa Sasa Watanzania kwenye madini na gesi Sisi ni vibarua tu kasomee uwe mwajiriwa,
Kwenye ndege, urubani ni waarabu na wazungu Sisi ni wanausalama na watoa huduma viwanjani kwetu.
Somea ualimu never die,doctor au procurement ni nzuri lakini sijui baada ya miaka mitatu ya chuo patakuwaje,
Somea mipango miji. Hata sijui nikushaurije maana kuna kozi. Nyingi.