Comrade Elishama
Member
- Jul 8, 2022
- 18
- 18
Na mnavyo penda kupewa shukurani Sasa!!!Bitter truth..huwezi pata MD,Nursing,pharmacy,wala Lab Kwa huo ufaulu hata kama ni kampala..omba BVM,FOOD SCIENCE,ANIMAL SCIENCE..utanishukuru badae
Kuna uhaba wa walimu wa Sayansi. Komaa na ualimu ya huko baadae utajua mbele kwa mbele....Habari wanajukwaa,
Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu tahasusi ya PCB na nimepata DIV two ya 12 nikiwa na physics D, Chemistry D, Biology D, Bam D, na Gs D
Nipo njia panda kwa sasa juu ya kitu gani nisomee chuo kikuu ukizingatia ufaulu mkubwa wa mwaka huu kozi kama Pharmacy, MD, Medical Lab, na Nursing.
Zina compitation kubwa saana naombeni ushauri wenu katika kozi zingine ambazo nina vigezo vya kusomea zenye soko la ajira.
Na nikisoma kozi hizo nitafanya kazi gani baadae
Naombeni ushauri wenu wakubwa wangu asanteni
Mungu awabariki.
Kwani nimemzuia kumshukuru Mungu??Na mnavyo penda kupewa shukurani Sasa!!!
Kwanini asimshukuru Mungu?
Hongera janja Kwa matokeo mazuri ingawa yanaweza yasifue dafu katika course nyingi za Afya kulingana na ufaulu ulivo ila bado haiondoi ukweli kuwa umejitahidi sanaHabari wanajukwaa,
Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu tahasusi ya PCB na nimepata DIV two ya 12 nikiwa na physics D, Chemistry D, Biology D, Bam D, na Gs D
Nipo njia panda kwa sasa juu ya kitu gani nisomee chuo kikuu ukizingatia ufaulu mkubwa wa mwaka huu kozi kama Pharmacy, MD, Medical Lab, na Nursing.
Zina compitation kubwa saana naombeni ushauri wenu katika kozi zingine ambazo nina vigezo vya kusomea zenye soko la ajira.
Na nikisoma kozi hizo nitafanya kazi gani baadae
Naombeni ushauri wenu wakubwa wangu asanteni
Mungu awabariki.
Habari wanajukwaa,
Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu tahasusi ya PCB na nimepata DIV two ya 12 nikiwa na physics D, Chemistry D, Biology D, Bam D, na Gs D
Nipo njia panda kwa sasa juu ya kitu gani nisomee chuo kikuu ukizingatia ufaulu mkubwa wa mwaka huu kozi kama Pharmacy, MD, Medical Lab, na Nursing.
Zina compitation kubwa saana naombeni ushauri wenu katika kozi zingine ambazo nina vigezo vya kusomea zenye soko la ajira.
Na nikisoma kozi hizo nitafanya kazi gani baadae
Naombeni ushauri wenu wakubwa wangu asanteni
Mungu awabariki.
Soma kwanza ufundi simu. Baada hapo ndio uendelee na mengine.
Shukran saaaaanHongera janja Kwa matokeo mazuri ingawa yanaweza yasifue dafu katika course nyingi za Afya kulingana na ufaulu ulivo ila bado haiondoi ukweli kuwa umejitahidi sana
Turudi kwenye mada, kama Kaka yako, nakushauri omba Kwanza course ambazo wewe unazipenda ili ata kama ukija kukosa Ajira basi usiwe na majuto mawili mawili
Baada ya hizo course, sasa nakushauri kulingana na mtaa unahitaji nini kulingana na uelewa wangu, Pale SUA omba course hizi, Horticulture, General Agriculture,BVM na kamwe narudia tena kamwe usiombe Animal Science, kisha Nenda pale Mlimani malizia course ya Beekeeping
Hizo course zote utakuwa na nafasi kubwa ya kupata mkopo maana zote zipo kwenye kundi la priority unless labda history yako ya shule ulizosoma ikutupe, ukipata mkopo tumia vizuri na utunze maana ndio utakuja kuwa mkombozi pale tu utakapomaliza chuo
πππKama unahisi huna cha kunishauri ni bora ukae kimya tu
Eh sawa ahsante kwa kunirekebishaRadiology
Ipo chuo gan?Eh sawa ahsante kwa kunirekebisha