Comrade Elishama
Member
- Jul 8, 2022
- 18
- 18
- Thread starter
-
- #21
Sawa asante kwa ushauri wakoNakushauri soma political science ukimaliza nenda kaombe kazi ya kupiga domo pale Lumumba.
Ukiwa unasoma anza kuwa chawa kwa viongozi wako wa chama na serikali.
Unampoteza.Omba MD ndugu, Ila isiwe muhimbili. Jaribu kuomba Udom, Kcmc, Bugando, nk. Utapata, usiogope
Akija kumaliza chuo atakuta walishajaa.Nilisikia serikali kuna uhaba wa wataalamu wa mionzi (Radiology) jaribu hiyo
Habari wanajukwaa,
Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu tahasusi ya PCB na nimepata DIV two ya 12 nikiwa na physics D, Chemistry D, Biology D, Bam D, na Gs D
Nipo njia panda kwa sasa juu ya kitu gani nisomee chuo kikuu ukizingatia ufaulu mkubwa wa mwaka huu kozi kama Pharmacy, MD, Medical Lab, na Nursing.
Zina compitation kubwa saana naombeni ushauri wenu katika kozi zingine ambazo nina vigezo vya kusomea zenye soko la ajira.
Na nikisoma kozi hizo nitafanya kazi gani baadae
Naombeni ushauri wenu wakubwa wangu asanteni
Mungu awabariki.
Mfumo umebadilika tangu 2015 boss,Wewe inaonyesha ni muongo, tangu lini BAM na GS zikawa na principal pass zaidi ya S kwa yeyote aliyefaulu?
Hajafafanua tu ni course gani but trust me kama una hobbie ya hivo vitu ukaja Soma course yake (sijui ni computer science or computer engineering au au VETA huko sijui Sina hakika ) huhitaji kuajiliwa na utakuwa unatengeneza kipato kizuri kisicho na Makato mengi, wakati mwingine zaidi ya wafanyakazi wa level ya degree wengi tu.Kama unahisi huna cha kunishauri ni bora ukae kimya tu
Radiology soko lake pana. Mbona hawakujaa miaka yote hii😀Akija kumaliza chuo atakuta walishajaa.
Asichague kozi, kwa sababu ina uhaba.
MD hapati hata Kama chuo Cha kataOmba MD ndugu, Ila isiwe muhimbili. Jaribu kuomba Udom, Kcmc, Bugando, nk. Utapata, usiogope
Haaaahaaaaahaaaaa umenivunja mbavuNenda lumumba ofisi ndogo watakupa ushauri ukasomee nini.
Nasikia kuna kozi mpya inaanza mwaka huu inaitwa bachelor degree in uchawa pro.
Core subjects kusifu na kuabudu,alipo tupo,anaupiga mwingi.
Kila la kheri..na wanatoa grants sio mkopo.
#MaendeleoHayanaChama
BVM huwezi kupata kwa huo ufaulu.Aombe ualimu atakuja kunishukuru baadae.Bitter truth, huwezi pata MD, Nursing, pharmacy, wala Lab Kwa huo ufaulu hata kama ni kampala..omba BVM, FOOD SCIENCE, ANIMAL SCIENCE. Utanishukuru badae
Kasome chuo cha uvuvi mbegani... utanishukuru baadae⁶Habari wanajukwaa,
Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu tahasusi ya PCB na nimepata DIV two ya 12 nikiwa na physics D, Chemistry D, Biology D, Bam D, na Gs D
Nipo njia panda kwa sasa juu ya kitu gani nisomee chuo kikuu ukizingatia ufaulu mkubwa wa mwaka huu kozi kama Pharmacy, MD, Medical Lab, na Nursing.
Zina compitation kubwa saana naombeni ushauri wenu katika kozi zingine ambazo nina vigezo vya kusomea zenye soko la ajira.
Na nikisoma kozi hizo nitafanya kazi gani baadae
Naombeni ushauri wenu wakubwa wangu asanteni
Mungu awabariki.
Check www.tcu.go.tz download Undergraduate Admission Guidebook Guidebook inaonyesha vyuo na kozi zao na sifa za kujiunga kwa kila kozi...utakuta kozi nyingi sana ambazo unasifa chagua unayotaka kushi katume maombi..Habari wanajukwaa,
Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu tahasusi ya PCB na nimepata DIV two ya 12 nikiwa na physics D, Chemistry D, Biology D, Bam D, na Gs D
Nipo njia panda kwa sasa juu ya kitu gani nisomee chuo kikuu ukizingatia ufaulu mkubwa wa mwaka huu kozi kama Pharmacy, MD, Medical Lab, na Nursing.
Zina compitation kubwa saana naombeni ushauri wenu katika kozi zingine ambazo nina vigezo vya kusomea zenye soko la ajira.
Na nikisoma kozi hizo nitafanya kazi gani baadae
Naombeni ushauri wenu wakubwa wangu asanteni
Mungu awabariki.
We jamaa nae kama wewe ulifeli ni wewe😂😂😂😂Wewe inaonyesha ni muongo, tangu lini BAM na GS zikawa na principal pass zaidi ya S kwa yeyote aliyefaulu?