Nisome Post Graduate Diploma in Information Technology au ICT?

MZIBHAZI

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
520
Reaction score
139
Wakuu habari.

Naomba mwenye kufahamu chuo kinachotoa Post graduate diploma in IT au ICT anijuze na ada yake na muda wa course na mode of study kama ni full time au on line.

Asanteni Sana!
 
Maungwana nasubiri kutoka kwenu mnissidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…