Car4Sale Nissan Caravan for sell

Yimakatso

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
7,060
Reaction score
9,468
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.tuliinunua kwa matumizi ya familia baadae tukaona tuisajili kama daladala.lengo la kuuza ni kwamba tunahitaji kuagiza nissan civilian hvyo tumefikiria kuuza hii ili ipatikane hela ya kuongezea.Ni ni number D.Ni petrol,auto ,6 cylinders.hakuna udalali ukihitaji nichek 0712484858.nipo dar.
.
 
Mkuu,
Katika bandiko lako umepatia kila kitu kwa asilimia 90... Ila umeacha kitu cha msingi sana ambacho ni Bei ya hiyo gari. Ungeweka tu hapo ili kila mtu ajipime kwa ubavu. Mimi gari imenivutia.
 
Mkuu,
Katika bandiko lako umepatia kila kitu kwa asilimia 90... Ila umeacha kitu cha msingi sana ambacho ni Bei ya hiyo gari. Ungeweka tu hapo ili kila mtu ajipime kwa ubavu. Mimi gari imenivutia.
Samahani mkuu.bei 20m maelewano yapo.gari haijaguswa mashine bado mpya kama inavyo onekana.
 
Samahani mkuu.bei 20m maelewano yapo.gari haijaguswa mashine bado mpya kama inavyo onekana.
Bila samahani mkuu..usijali. Shukrani kwa kuweka hiyo bei...nazifahamu hizo gari ni nzuri na ngumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…