Car4Sale Nissan civilian bus kali inauzwa m 14

Azizi Mussa

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2012
Posts
9,186
Reaction score
7,492
Wakuu, nauza nisan civilian bus kali m. 14.Gari iko mzigoni kko-goms, kuiona gari njoo na fundi wako. Sababu za kuiuza mwenye gari anahamia dodoma.
Mawasiliano 0685247148
 
Wakuu, nauza nisan civilian bus kali m. 14.Gari iko mzigoni kko-goms, kuiona gari njoo na fundi wako. Sababu za kuiuza mwenye gari anahamia dodoma.
Mawasiliano 0685247148
 
ushapata mteja maana kwa uku itafaa sana lukobe-mjini.....
 
Gari imeshuka bei sana, sasa inauzwa milion 11 tu, wote mnakaribishwa
 
Vibali vyote vimekuwa renewed hadi mwakani ila bado inauzwa, kko goms
 
Haina tatizo lolote ila nimehamishwa kikazi sasa usimamizi unakuwa mgumu sana na gari inahitaji isimamizi. Bei bia inajadilika. Karibu

Mkuu me nipo tayari kuichukua nitafute PM tafadhali ila ukinitafuta naomba nipe maelezo kwa siku inalaza kiasi gani na gharama zake kwa ujumla na tutafanya biashara bila tatizo kabisaaa......na uniambie namna ya kuimudu kama ulivyokuwa unafanya wewe alafu tuone nini cha kufanya.....sema kwenye bei tutaongea vizuri ika I am serious....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…