Car4Sale Nissan civilian bus kali inauzwa m 14

Au ikiwezekana weka hapa hapa pia haina neno so atleast na wengine wajifunze mfano kwa siku unapata kiasi gani na kwa week unapata kiasi gani na kwa week inafanya kazi siku ngapi na kwa mwezi inafanya kazi siku ngapi,na inaanza kazi saa ngapi na ina maliza saa ngapi haya yote nadhani n8 ya muhimu sanaa kwa mtu ambaye kama mimi tukielewana then nijue namna ya kudeal na hao watu maana wanadanganya sanaa ttaffic wakati uongo mtupu.....
 
Haina tatizo lolote ila nimehamishwa kikazi sasa usimamizi unakuwa mgumu sana na gari inahitaji isimamizi. Bei bia inajadilika. Karibu


Hamna majibu umeshaiuza tayari mkuu?
 
Mkuu samahani nilikuwa bize kidogo ndio maana sikukujibu kwa wakati. Gari bado ipo na tayari nimesha ku pm

Karibu tufanye biashara
 
Inategemea mambo kadhaa, ni vizuri kuonana field
 
Eti,mbona ndo sokoni dodoma vipaNya basi,au inTatiza kubwa?
 
Mil.9 chukua inahitaji matengenezo ya gear box ni lazima
 
Sawa weka mambo wazi vinginevyo makusanyo hakuna anahamisha matatizo kwa mwingine no dhambi ndugu
 
Swali zuri,unapata ngapi kwa siku bana
 
Gari imeshuka bei sana, sasa inauzwa milion 11 tu, wote mnakaribishwa
Umeshauza civilian nissan ,ni ya mwaka gani A,B,C,D picha ni moja tu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…