Haina tatizo lolote ila nimehamishwa kikazi sasa usimamizi unakuwa mgumu sana na gari inahitaji isimamizi. Bei bia inajadilika. Karibu
Mkuu samahani nilikuwa bize kidogo ndio maana sikukujibu kwa wakati. Gari bado ipo na tayari nimesha ku pmMkuu me nipo tayari kuichukua nitafute PM tafadhali ila ukinitafuta naomba nipe maelezo kwa siku inalaza kiasi gani na gharama zake kwa ujumla na tutafanya biashara bila tatizo kabisaaa......na uniambie namna ya kuimudu kama ulivyokuwa unafanya wewe alafu tuone nini cha kufanya.....sema kwenye bei tutaongea vizuri ika I am serious....
Inategemea mambo kadhaa, ni vizuri kuonana fieldAu ikiwezekana weka hapa hapa pia haina neno so atleast na wengine wajifunze mfano kwa siku unapata kiasi gani na kwa week unapata kiasi gani na kwa week inafanya kazi siku ngapi na kwa mwezi inafanya kazi siku ngapi,na inaanza kazi saa ngapi na ina maliza saa ngapi haya yote nadhani n8 ya muhimu sanaa kwa mtu ambaye kama mimi tukielewana then nijue namna ya kudeal na hao watu maana wanadanganya sanaa ttaffic wakati uongo mtupu.....
Sawa weka mambo wazi vinginevyo makusanyo hakuna anahamisha matatizo kwa mwingine no dhambi nduguAu ikiwezekana weka hapa hapa pia haina neno so atleast na wengine wajifunze mfano kwa siku unapata kiasi gani na kwa week unapata kiasi gani na kwa week inafanya kazi siku ngapi na kwa mwezi inafanya kazi siku ngapi,na inaanza kazi saa ngapi na ina maliza saa ngapi haya yote nadhani n8 ya muhimu sanaa kwa mtu ambaye kama mimi tukielewana then nijue namna ya kudeal na hao watu maana wanadanganya sanaa ttaffic wakati uongo mtupu.....
Swali zuri,unapata ngapi kwa siku banaMkuu me nipo tayari kuichukua nitafute PM tafadhali ila ukinitafuta naomba nipe maelezo kwa siku inalaza kiasi gani na gharama zake kwa ujumla na tutafanya biashara bila tatizo kabisaaa......na uniambie namna ya kuimudu kama ulivyokuwa unafanya wewe alafu tuone nini cha kufanya.....sema kwenye bei tutaongea vizuri ika I am serious....
Hebu react njia ya milima ni so?Mkuu 24hrs civilian haipatani na milima mikali
Gia zote rivasiIna tatizo gani?
Umeshauza civilian nissan ,ni ya mwaka gani A,B,C,D picha ni moja tuGari imeshuka bei sana, sasa inauzwa milion 11 tu, wote mnakaribishwa
Usinunue gari kwa namba,namba zipo tuNamba gani mkuu?