Nissan diesel vs scania buses vs Isuzu buses

Nissan diesel vs scania buses vs Isuzu buses

strootboy

Member
Joined
Nov 28, 2015
Posts
49
Reaction score
40
Hizi gari zinatumika sana. Zipi hapa ni bus ambazo ni imara na zinamudu mwendo?
 
Nissan kwa root ndefu ipo vizuri kozi ina mfumo mzuri wa upozaji mashine pia nissan vifaa vyake ni durable,nakumbuka nikiwa advance nimesafiri na TAQWA nissan 2001 na mpaka leo hakuna scania yeyote ambayo inaweza rut ya dar congo! Scania ya mwisho mm kuiona ilikuwa ADIDAS
 
Nissan kwa root ndefu ipo vizuri kozi ina mfumo mzuri wa upozaji mashine pia nissan vifaa vyake ni durable,nakumbuka nikiwa advance nimesafiri na TAQWA nissan 2001 na mpaka leo hakuna scania yeyote ambayo inaweza rut ya dar congo! Scania ya mwisho mm kuiona ilikuwa ADIDAS
Falcon bus anazo Nissan Diesel na Scania pia zinaenda Dar mpaka Harare..
 
Engine za Nissan Diesel ni habari nyingine kwa safari ndefu.
Bavaria hizo engine bora kwa safari ndefu ni kwa abiria tuu na kwenye ubebaji mizigo upoje maana kukuta Nissan diesel truck zilizobeba mizigo kwa safari ndefu ni chache na pia Engine za Scania mnazozungumzia ni zipi zile 113 za kizamani au hizi R series na P series..
 
Nakumbuka sumry kitambo alikua anazitumia hzo nissan diezel.. Mlimani zilikua zinazingua kidogo tofauti ma scania..nilikua nazipanda sana kwa route za songea dar..
 
nissan diesel a.k.a united diesel(sina uwakika kama ndokirefu chake)
 
Bavaria hizo engine bora kwa safari ndefu ni kwa abiria tuu na kwenye ubebaji mizigo upoje maana kukuta Nissan diesel truck zilizobeba mizigo kwa safari ndefu ni chache na pia Engine za Scania mnazozungumzia ni zipi zile 113 za kizamani au hizi R series na P series..
Nimejibu kwa kutumia reference ya mabus.
Hivi hizo P na R series ni malori pekee au hadi mabus?
 
Nimejibu kwa kutumia reference ya mabus.
Hivi hizo P na R series ni malori pekee au hadi mabus?
Mkuu yapo P,R,K,F ila HP ni ndogo tofauti na zile za Truck kuna Scania bus linatoka Living stone mpaka Cape Town via Harare na Madhandoo bus ana Scania zake zinatoka Kitwe mpaka Johannesburg..2000km na kila siku zipo Road na Jos to Lusaka makampuni yote yanatumia Scania 1500km..
 
Mkuu yapo P,R,K,F ila HP ni ndogo tofauti na zile za Truck kuna Scania bus linatoka Living stone mpaka Cape Town via Harare na Madhandoo bus ana Scania zake zinatoka Kitwe mpaka Johannesburg..2000km na kila siku zipo Road na Jos to Lusaka makampuni yote yanatumia Scania 1500km..

Usifananishe barabara za Tanzania na zambia, mlima mkali zambia ni danger hill pekee
 
Nissan ziko vizuri sn ila kwenye kupanda tu ndio zinaachwa na scania
 
Usifananishe barabara za Tanzania na zambia, mlima mkali zambia ni danger hill pekee
chirundu ni mlima mkubwa tuu, zimbabwe kuna milima mikubwa tuu kariba ukipita au Siavonga huku yanakopita yale mabasi kuna milima mikubwa tuu..
 
Scania complete bus mfano scania f95_310hb au f94_310hb zenye gearbox ya gia sita ziko vizuri sana hususani hizi scania f95_310 euro iii emission piston tano unywaji wake mafuta ni kidogo sana kuliko scania za piston 6 zipo vizuri kwenye milima,tambarare,na barabara korofi hata safari ndefu zinaenda bila tatizo lolote ila ukizembea kwenye service zinasumbua sana kwa kuwa zinatumi mfumo wa umeme kwa asilimia kubwa matengenezo yake hufanyika kwenye matawi ya sab scania,Nissan Diesel kwa injini mbele toleo la mwisho ni hizi cb46 ambazo zilikuwa kwa Sumry,taqwa,falcon,nk hizi injini yake ni euro ii emission standard zinavumilia kutembea umbali mrefu kama kama 1000km kwa siku na ikapumzishwa maana hizi ikifululiza safari ndefu bila kupumzishwa huwa zinaibua magonjwa mfululizo na zinakunywa sana mafuta hasa zikianza kuchoka au pampu yake ikiguswa ili iwe inakimbia zaidi vile vile Nissan ikiwa na diff la high speed inakimbia sana tambarare,kwenye miteremko,barabara korofi,na inapanda taratibu sana mlima lakini ikiwa na diff la low speed inapanda sana mlimani lakini haiwezi kukimbia sehemu yoyote tofauti na mlima na kwa sasa uzalishwaji wa Nissan Diesel kwa ajili ya mabasi ya injini mbele umesitishwa
 
Back
Top Bottom