elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
wadau nimependa hili gari la nissan fuga nataka kuagiza.
je kuna mtu ana experience nalo kuhusu ubora wake.
nataka lenye cc2500 hope mafta litakuwa linakula kama mark x au brevis ya cc2500.
Naomba mwenye experience ya ubora wake aniambie
je kuna mtu ana experience nalo kuhusu ubora wake.
nataka lenye cc2500 hope mafta litakuwa linakula kama mark x au brevis ya cc2500.
Naomba mwenye experience ya ubora wake aniambie