Ili kujua gari si salama sana NCAP huwa wana test katika low speed, yaani chini ya 60km/h sasa kwa gari hii ni bora hata toyota passo iliyo score 3Gari zote ni majeneza yanayotembea mkuu! hata ukiwa na benz ukipata ukonzi wa haja lazima ukate ringi.
Kwani unanunua gari kwa lengo la kugongana?Ili kujua gari si salama sana NCAP huwa wana test katika low speed, yaani chini ya 60km/h sasa kwa gari hii ni bora hata toyota passo iliyo score 3
SureKwani unanunua gari kwa lengo la kugongana?
Kuna gari zinapewa score ya 100 ila zikipata mzinga unakata ringi hapohapo.
Endesha kwa usalama na tahadhari muda wote.
Kila mtu na kila siku tunakutana na hizi gari huko barabarani, makampuni, watu binafsi na hata taasisi za serikali wanatumia, je wanajua kuwa NCAP wamelipa score ya sifuri kwa kuwalinda walio ndani ya gari hili wakati crash hasa kugongana uso kwa uso, au hata ubavuni? Dhahiri hili ni jeneza linalo tembea.
Huu ni moja wa mifano ya crash tests za nissan hardbody 4x4 np300
View attachment 1826089
Gari zote ni majeneza yanayotembea mkuu! hata ukiwa na benz ukipata ukonzi wa haja lazima ukate ringi.
Kwani unanunua gari kwa lengo la kugongana?
Kuna gari zinapewa score ya 100 ila zikipata mzinga unakata ringi hapohapo.
Endesha kwa usalama na tahadhari muda wote.
Gari la kununua mi fiat hizi zingingeni ni takataka
Land rover 110 kichwa chako ndio airbag, man must die 🤣We die real men. Landrover 110 no airbag no what. Manual everthing
Sipati picha hii gari ikipata ajali ikiwa Kwenye speed 120....
AJali inatisha aisee
Maisha ni kuchagua, ni bora mnunuzi awe na taarifa na product anayoinunua kuliko kuto jua akidhania yupo salamaMtoa hoja umetoa hoja bila kuchimbua kwa undani...
Hiyo Nissan Hardboard NP 300 nyeupe ni Toleo maalumu kwa nchi masikini za Africa..
hiyo nyeusi ni toleo la ulaya...
Umasikini wetu wa kiafrika na kupenda vya kunyonga ndiyo unaofanya tuletewe vitu vyenye ubora wa chini..
Kampuni ya Nissan hapo hawana kosa, kosa ni umasikini wenu...
Hao Nissan nao ni wafanga biashara, wakisema watutengenezee kwa standard za Europe, waafrica mtakimbia.....
Ni sawa na Tecno,Itel au Infinix....huu uchafu umewahi kuuona soko la Ulaya, America au Canada..?....Hizi ni smartphone maalumu kwa kundi masikini la Africa.
Kabka hujaandika, angalia kwanza unaishi pande zipi za dunia...NP 300 unazoziona huku, haziuzwi soko la Ulaya wala America....
Mtoa hoja umetoa hoja bila kuchimbua kwa undani...
Hiyo Nissan Hardboard NP 300 nyeupe ni Toleo maalumu kwa nchi masikini za Africa..
hiyo nyeusi ni toleo la ulaya...
Umasikini wetu wa kiafrika na kupenda vya kunyonga ndiyo unaofanya tuletewe vitu vyenye ubora wa chini..
Kampuni ya Nissan hapo hawana kosa, kosa ni umasikini wenu...
Hao Nissan nao ni wafanga biashara, wakisema watutengenezee kwa standard za Europe, waafrica mtakimbia.....
Ni sawa na Tecno,Itel au Infinix....huu uchafu umewahi kuuona soko la Ulaya, America au Canada..?....Hizi ni smartphone maalumu kwa kundi masikini la Africa.
Kabka hujaandika, angalia kwanza unaishi pande zipi za dunia...NP 300 unazoziona huku, haziuzwi soko la Ulaya wala America....