yuko poa sana na anajua kaziJamaa mwaminifu sana eeh?
Duuuu aisee hapa duniani tunatofautiana Sana yaani hii gari unaiponda muonekano wake??Sjawahi penda gari linaloitwa Nissan,shepu mbovu mpk kichef chef
Nissan sio kama Toyota nduguu pia hizi gari ni model ya Jeep wrangler ndiyo maana bei yake ni ya juu
Wameiga kidogo kutoka Kwenye Jeep hasa muundo wa body yake'model ya Jeep wrangler'
Hapa ulimaanisha nini mkuu?
X trail zimeshaanza kuwa common...spea zinapatikana kirahisi haswa kama upo miji ile mikubwa ila bei ya spea zake ni ghali...Mkuu unanishaurije kuhusu Nissan X trail? Natamani sana kumiliki Nisaan x trail hasa hizi Axis Model
Nashukuru sana Boss kwa ushauri mzuri[emoji120]X trail zimeshaanza kuwa common...spea zinapatikana kirahisi haswa kama upo miji ile mikubwa ila bei ya spea zake ni ghali...
Japo watu wengi wanaziponda hizi gari kuwa ni kimeo....Im not sure about that...ila nichofahamu gari lolote ni matunzo...
Kuna mtu ana x trail namba B imesimama vizuri na kuna mwenye Noah namba D, ukiitazama utasikia kichefuchefu...
Hii ina maana ukiwa mtunzaji na kuzingatia huduma stahiki, hakuna gari baya.
Garii imekaa kma beetle ya mwaka 1986[emoji1787]Duuuu aisee hapa duniani tunatofautiana Sana yaani hii gari unaiponda muonekano wake??
Nissan sio kama Toyota nduguu pia hizi gari ni model ya Jeep wrangler ndiyo maana bei yake ni ya juu
Umeona eeh,af hyo ni kaka ake na Nissan March(Mr Bean)Hiki kigari hua kina sura mbaya sana aiseee.