Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna moja nilmesahau.. Inaitwa Toyota Porte....
Mmh. hii gari sijui wajapani waliwaza nini...[emoji23][emoji23]
Japo kuna mtu anaipenda kupindukia
Kama churaSjawahi penda gari linaloitwa Nissan,shepu mbovu mpk kichef chef
wanavipenda kisa cc ndogo then ni gari ya juu kwa wale wanaokaa mabondeni huko nje ya mji kusiko na lami tumbo halibuluzi tofauti na crown ukiingia nayo kimara hapo cha moto utakionaSi ni bora ukanunue Harrier