mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 737
- 1,002
Bonge la gari na bei ipo poa hakika huuzi kwa faida itakuwa umetingwa,ukiagiza hii gari mpaka na ushuru wa bongo sio Zanziber ni zaidi ya 20m.zipo poa sana. Sio kama Toyota kila mtu anayo.Nissan juke 2012
Engine capacity,1500
Millage 74000km
Haina kipengele chochote
Bei, 19m
Piga 0698235368
ipo Dar NITView attachment 2861813View attachment 2861816View attachment 2861817
Asante mkuu kwa support,dukani hiyo ni 27mBonge la gari na bei ipo poa hakika huuzi kwa faida itakuwa umetingwa,ukiagiza hii gari mpaka na ushuru wa bongo sio Zanziber ni zaidi ya 20m.zipo poa sana. Sio kama Toyota kila mtu anayo.
Karibu tufanye biashara mkuuHivi vigari navipendaga jamani! Kuna siku nikamuona mdada anaendesha nilijikuta tu natabasamu.
Gari lako zuri, biashara njema Mkuu.Karibu tufanye biashara mkuu
Kigari kizuri sana hiki japo bei imechangamkaNissan juke 2012
Engine capacity,1500
Millage 74000km
Haina kipengele chochote
Bei, 19m
Piga 0698235368
ipo Dar NITView attachment 2861813View attachment 2861816View attachment 2861817
Asante mkuuGari lako zuri, biashara njema Mkuu.
Asante mkuuKigari kizuri sana hiki japo bei imechangamka
Kila la heri mkuu