Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipigie tuongee2.5 sema utachukua lakini lazima fundi wangu alifanyie majaribio.
Zanz umeanza uchokozi. Hii gar naitumia kwenye shughuli zangu kila siku kwahivyo inatembeaHahahha,leo Frank kaamu kusukua mshipa na yeye.
Gari nzuri ila sijui kama haina tatizo,maana kuna jamaa yangu alikuwa nayo hiyo iliharibika kifaa kidogo tu kazi aliiona ilikaa mpaka basi.
Hembu endesha hapo tuone kama nzima
Hahahaha,sasa mbona unaiuza bei rahisi.Zanz umeanza uchokozi. Hii gar naitumia kwenye shughuli zangu kila siku kwahivyo inatembea
Namba yake n T 647 AXU, naiuza kwakuwa nahitaji fedha kwa uharaka ni invest sehemHahahaha,sasa mbona unaiuza bei rahisi.
Halafu kama umeficha number vile kimtindo
Pungufu uliyonayo unaongea
Nipigie tuongee2.5 vp?
Kama upo sirias nipigie tufanye biashara2.5 vp?
Kama upo sirias nipigie tufanye biashara
Sio kwelHii gari sio mojawapo ya zile wanazoshindwa wateja wako kulipa riba kubwa?