Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii siyo Toyota, hii ni Nissan. Yaani ukiinunua na ikaweza kuja kuiuza zaidi ya nusu ya ile bei uliyonunulia basi wewe ni mwamba, mathalani uliinunua milioni 30 halafu ukaja kuiuza milioni 16 basi wewe ni mjanja kupita maelezo.Hapo aliyenunua piru utakuta alipigwa karibia million 35!
Hiyo ni Nissan mzee [emoji3]Wajameni kwA wanaozijua hizi gari naombeni mnidadavulie ubora wake na ubaya wake,kwa macho nazipenda ila sizijui kwa undani zaidi
Wataakamu kujenii
We nawe acha wivu wa kike. Gari ni yake hata buku akitaka anaweza uza.Endesha gari yako hata kama una matatizo pambana .Murano 2007 DR unaiuza 10m? Aisee.
Adui muombee njaa atanyoosha mikono juu hata kama alikuwa shujaa.We nawe acha wivu wa kike. Gari ni yake hata buku akitaka anaweza uza.
Mkuu achana na huyu jamaa. 7M ipo pale pale incase umekosa mteja!
Hahahahaha sahizi ni nyimbo za mitusi tuAdui muombee njaa atanyoosha mikono juu hata kama alikuwa shujaa.
Ujana wetu wasanii walikuwa na busara sana.😀😀
Siku hizi ni leo nakutooooooooo totooooo.
Mitusi na poda. Wanavaa mpaka magauni.Hahahahaha sahizi ni nyimbo za mitusi tu
Hahahahah nimecheka sana hio ni Nissan MzeeHiyo ni Nissan mzee [emoji3]