Mafuta sawa na Subaru 2.5l. spea ukifunga unasahau, Ni heavy duty popote unapiga. Uchukue chapMwenye kuijua Nissan Navara Double Cabin. Naona budget yangu unacheza hapo tu. Bei imenibana Siwez Kununua Hilux Double Cab, wala Amarok achilia mbali Mnyama Ford Ranger/RAPTOR. Wajuzi njooni Extrovert Isanga family raraa reree
Hakunaga Nissan heavy duty. Hiyo Navara likianza kuchoka mabati yanatepeta vibayaMafuta sawa na Subaru 2.5l. spea ukifunga unasahau, Ni heavy duty popote unapiga. Uchukue chap
Kabisa. Navara zina body nyepesi mno!Hakunaga Nissan heavy duty. Hiyo Navara likianza kuchoka mabati yanatepeta vibaya
Unafurahisha mno na ugeni] wako kwa nissan. Pickup ngumu kwa nissan ni hardbody np300 ile au ilioko based in y61 patrol.Mafuta sawa na Subaru 2.5l. spea ukifunga unasahau, Ni heavy duty popote unapiga. Uchukue chap
Nyingine nyanya sio?Unafurahisha mno na ugeni] wako kwa nissan. Pickup ngumu kwa nissan ni hardbody np300 ile au ilioko based in y61 patrol.
Unafurahisha mno na ugeni] wako kwa nissan. Pickup ngumu kwa nissan ni hardbody np300 ile au ilioko based in y61 patrol.
Stout bado zipo sokoni kweli?Hamna gari hapo , bora ukanunue Toyota stout
Hela yako tu, utaletewa hapa tena nzuri imesimama.Stout bado zipo sokoni kweli?
Hard body sijui kama inakufa hii gari kila nikiaangalia naona inataka Safari tuu nimemtafutia ndugu yake Nissan Safari Y 61 ya 2016 ina balaa inapanda milima ya Malangu kama Tambalale...Ahsante sana Nissan...Hardboard ni mkataba
Kuna hizi 2020 model...ni balaa, dem hachomokiNavara unaweza kuokotea mademu kweli?