Nissan teana check engine light

Nissan teana check engine light

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Wakuu Habari za ijumaa

Nina gari aina ya nissan teana sasa kuna taa ya check engine inawaka kwenye dashboard na nilipeleka garage wakasema ni mwage oil and I did but bado ile taa inawaka je shida inaweza kuwa ni nn?
 
Wakuu Habari za ijumaa

Nina gari aina ya nissan teana sasa kuna taa ya check engine inawaka kwenye dashboard na nilipeleka garage wakasema ni mwage oil and I did but bado ile taa inawaka je shida inaweza kuwa ni nn?
Upo mkoa gani?.
Nakushauri tafuta garage ambayo ina diagnosis tool wakuchekie hio gari. Ukipeleka garage ya uswazi watakuaribia gari na kukulia ela.
In short gari yako ina tatizo la sensor. Kujua ni sensor gani imeharibika inabidi utumie hiyo diagnosis tool.
 
Upo mkoa gani?.
Nakushauri tafuta garage ambayo ina diagnosis tool wakuchekie hio gari. Ukipeleka garage ya uswazi watakuaribia gari na kukulia ela.
In short gari yako ina tatizo la sensor. Kujua ni sensor gani imeharibika inabidi utumie hiyo diagnosis tool.
Chukua huu ushauri....Weka vipimo kwenye gari shida itakwisha
 
Upo mkoa gani?.
Nakushauri tafuta garage ambayo ina diagnosis tool wakuchekie hio gari. Ukipeleka garage ya uswazi watakuaribia gari na kukulia ela.
In short gari yako ina tatizo la sensor. Kujua ni sensor gani imeharibika inabidi utumie hiyo diagnosis tool.

Thank you I will do that as soon as possible maana now limeanza na tabia ya kuzimika tu likiwa barabarani
 
Thank you I will do that as soon as possible maana now limeanza na tabia ya kuzimika tu likiwa barabarani
Mnaweza kununua magari ya milion zaidi ya 10 mnashindwaje kuagiza code reader ya laki na nusu kwaajili ya kupimia gari zenu.mkija hapa tunakuwa tunaongea lugha moja na sio blablabla hizi..iwe ni gari yangu aina flani inanisomea fault hii P0123 je inamaanisha nn au crack sensor ipo sehem gani
 
Picha ingesaidia zaidi, ili tukueleweshe vizuri.
 
Thank you I will do that as soon as possible maana now limeanza na tabia ya kuzimika tu likiwa barabarani
Nahisi itakuwa ni crankshaft position sensor imekufa. Ungekuwa Mwanza ningekuunganisha na dogo mwenye kifaa cha kuangalia.
Ila chukua hatua ASAP. Maana unaweza kuta upo speed120 then inazima ghafla. Kama ujuavyo gari ikizima ghafla inapoteza uelekeo wa steering na brake. Ukisema utumie end break tunakukuta mtaroni.
 
Nahisi itakuwa ni crankshaft position sensor imekufa. Ungekuwa Mwanza ningekuunganisha na dogo mwenye kifaa cha kuangalia.
Ila chukua hatua ASAP. Maana unaweza kuta upo speed120 then inazima ghafla. Kama ujuavyo gari ikizima ghafla inapoteza uelekeo wa steering na brake. Ukisema utumie end break tunakukuta mtaroni.
Haiwezi kutokea hivyo hata siku moja..magari hayapigiwi ramli hata siku moja ..
 
Haiwezi kutokea hivyo hata siku moja..magari hayapigiwi ramli hata siku moja ..
Kwa mafundi katika kufanya troubleshooting ya kutatua tatizo huwa inatumika kama ramli. Huwa tatizo halikaririwi. Mfano gari ikichemsha wazo linaweza kukujia kuwa maji yamepungua. Ukiangalia level ya maji ukakuta ipo sawa then unatoa air lock kwenye system ya maji. Tatizo likiendelea unaangalia kama radiator fan inafanya kazi?. Kama nayo ipo sawa unaangalia kama kuna blockage kwenye system. So tatizo moja linaweza kuwa na option nyingi kwenye kutatua.
Kwa hiyo ndugu yangu kama wewe ni fundi wa kukariri tatizo moja basi wewe ndio wale mafundi makanjanja.
Pia kumbuka nlitumia neno “Kuhisi crankshaft position sensor kuharibika”. Nimehisi hivyo kwani sensor husika ikiharibika gari huzima ghafla ikiwa on. Japo inaweza kuwa ni issue nyingine.
Ndio maana nimemshauri atafute fundi mwenye diagnosis kit amsaidie. Maana hata hiyo alarm kutoka mpaka iwe acknowledge na kit.
 
Hili tatizo lilishawahi nitokea,kumbe plug mojo na coil yake ilikuwa mbovu,mafuta yasipochomwa vizuri nalo huwa ni tatizo check engine lazima iwake, jaribu kudisconect batter uiache kwa muda wa dakika 10 kisha uirudishe uone
 
Kwa mafundi katika kufanya troubleshooting ya kutatua tatizo huwa inatumika kama ramli. Huwa tatizo halikaririwi. Mfano gari ikichemsha wazo linaweza kukujia kuwa maji yamepungua. Ukiangalia level ya maji ukakuta ipo sawa then unatoa air lock kwenye system ya maji. Tatizo likiendelea unaangalia kama radiator fan inafanya kazi?. Kama nayo ipo sawa unaangalia kama kuna blockage kwenye system. So tatizo moja linaweza kuwa na option nyingi kwenye kutatua.
Kwa hiyo ndugu yangu kama wewe ni fundi wa kukariri tatizo moja basi wewe ndio wale mafundi makanjanja.
Pia kumbuka nlitumia neno “Kuhisi crankshaft position sensor kuharibika”. Nimehisi hivyo kwani sensor husika ikiharibika gari huzima ghafla ikiwa on. Japo inaweza kuwa ni issue nyingine.
Ndio maana nimemshauri atafute fundi mwenye diagnosis kit amsaidie. Maana hata hiyo alarm kutoka mpaka iwe acknowledge na kit.
Hahahahaha na mm pia ninesema hivyo mkuu coz nafaham na mashine pia yakupimia ninayo na mm nimesema hivyo sio kwamba nimekariri hapana..ni kwamba gari yenye shida ya sensor hasa crank shaft sensor huwa na dalili zifuatazo kwanza hard start pili rough idling na gari kuto waka kabisaaa.
 
Back
Top Bottom