KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Nissan creates a small engine weighing 40kg.
It's a 3 cylinder block that produces 400 horsepower.
It's a 3 cylinder block that produces 400 horsepower.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya watu wafu. CCM badala ya kutengeneza think tanks, inawaua, inawateka, inawatesa, inafurahi kuona taifa likiwa na mazombie yasiyo hoji wala kudadisi.Tangangika tutaweza lini kutengeneza engine? Hata ya kumwagilia maji tu tuinue kilimo
Nissan march upgradedNissan creates a small engine weighing 40kg.
It's a 3 cylinder block that produces 400 horsepower.
View attachment 3134534
Nasoma Uzi wa madhara ya damu isiyo na hatia, vipi umekuwa shemasi siku hizi? Uliachana na zile mambo za Jump Nyayabinghi na ungo?Nissan march upgraded
Tunachoeza ni kuteka, kuua , kubambikia ksi na kupotea watu. Tukimaliza hapo unasifia mamaTangangika tutaweza lini kutengeneza engine? Hata ya kumwagilia maji tu tuinue kilimo
Tunawaza na kuona kwamba kundi furani ndio lenye haki au hatimiliki ya kutawala nchi,wakitokea wengine wenye mawazo tofauti wana tekwa na kuuliwa.Watanzania tunawaza namna tutakavyoiba Kura, namna ya kuandikisha watoto wadogo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, namna tutakavyoiba na kuhujumu mapato ya serikali.
Tunawaza vumbi la Congo, bata, totoz na nyama choma.
Tunawaza jinsi Mwenge unavyoleta amani kwa kuwazungushia mabwege Moshi wa kichawi.
Tunawaza kwamba bila kuwa chawa hutoboi, hizo akili bunifu tutazipata wapi?
ccm inafuraha kuona wote nchi nzima tukiwa na akili za Lucas Mwashambwa, si akili za kuhoji, kudadisi na kukemea uovu serikalini, bali akili za kusifia kila kitu.
Very sadTunawaza na kuona kwamba kundi furani ndio lenye haki au hatimiliki ya kutawala nchi,wakitokea wengine wenye mawazo tofauti wana tekwa na kuuliwa.