Nissan X-trail ya mwaka 2010

Nissan X-trail ya mwaka 2010

matinel

Member
Joined
Dec 31, 2022
Posts
24
Reaction score
33
Wakubwa nimenunua gari aina ya nissan xtrail mwaka 2022 mwezi Nov aina ya engine ni MR20 nafikiri kwa wazoefu wa gari engine yake haina tofauti na engine ya nissan dualis ,, nilichoshangaa toka mwaka jana mwezi kama wa kumi gari ikaanza kama kushtuka shtuka hivi hasa nikipinguza mwendo mpaka kwenye 40km/h yani hata nikiwasha na kuanza kuondoka ikifika kwenye 40km/h to inaanza kushake shake yani kama inamissi hivi [ jerking action] fundi akanishauri nibadili plug kwani toka ninunue gari sijawahi badili plug nilivyobadili ikatulia kama week moja hivi ikaanza tena nikamshirikisha fundi mmoja huko dar akasema hizo gari saiz zinachagua sana plug inabidi uweke plug oG akasema kunasehem tunaagiza nje weka oda nikaweka hiyo oda ambazo zimenigharim 400k , zilipokuja nikafunga gari ikatulia kama mwezi hivi nashangaa juzi tena hali imerudia ile ile , nimebadili hydraulic wapi na kwenye dashboard hamna warning light yoyote ile ,, naombeni msaada wenu wakubwa .
 
matinel upo mkoa gani ?
Hiyo gari yako utabadilisha Sana plug kutokana na mafuta unayotumia
Jamanii jitahidini kuingia kwenye vituo vya mafuta wanakouza UNLEADED PETROL TU
Weka mafuta kwenye vituo hivi vifuatavyo:-
1) puma
2) total
3) engen
4) afroil
5) petroafrica
6) oryx
7) victoria

Hivyo ndivyo vituo vya uhakika
 
Wakubwa nimenunua gari aina ya nissan xtrail mwaka 2022 mwezi Nov aina ya engine ni MR20 nafikiri kwa wazoefu wa gari engine yake haina tofauti na engine ya nissan dualis ,, nilichoshangaa toka mwaka jana mwezi kama wa kumi gari ikaanza kama kushtuka shtuka hivi hasa nikipinguza mwendo mpaka kwenye 40km/h yani hata nikiwasha na kuanza kuondoka ikifika kwenye 40km/h to inaanza kushake shake yani kama inamissi hivi [ jerking action] fundi akanishauri nibadili plug kwani toka ninunue gari sijawahi badili plug nilivyobadili ikatulia kama week moja hivi ikaanza tena nikamshirikisha fundi mmoja huko dar akasema hizo gari saiz zinachagua sana plug inabidi uweke plug oG akasema kunasehem tunaagiza nje weka oda nikaweka hiyo oda ambazo zimenigharim 400k , zilipokuja nikafunga gari ikatulia kama mwezi hivi nashangaa juzi tena hali imerudia ile ile , nimebadili hydraulic wapi na kwenye dashboard hamna warning light yoyote ile ,, naombeni msaada wenu wakubwa .

Wakubwa nimenunua gari aina ya nissan xtrail mwaka 2022 mwezi Nov aina ya engine ni MR20 nafikiri kwa wazoefu wa gari engine yake haina tofauti na engine ya nissan dualis ,, nilichoshangaa toka mwaka jana mwezi kama wa kumi gari ikaanza kama kushtuka shtuka hivi hasa nikipinguza mwendo mpaka kwenye 40km/h yani hata nikiwasha na kuanza kuondoka ikifika kwenye 40km/h to inaanza kushake shake yani kama inamissi hivi [ jerking action] fundi akanishauri nibadili plug kwani toka ninunue gari sijawahi badili plug nilivyobadili ikatulia kama week moja hivi ikaanza tena nikamshirikisha fundi mmoja huko dar akasema hizo gari saiz zinachagua sana plug inabidi uweke plug oG akasema kunasehem tunaagiza nje weka oda nikaweka hiyo oda ambazo zimenigharim 400k , zilipokuja nikafunga gari ikatulia kama mwezi hivi nashangaa juzi tena hali imerudia ile ile , nimebadili hydraulic wapi na kwenye dashboard hamna warning light yoyote ile ,, naombeni msaada wenu wakubwa .
JituMirabaMinne
 
magari ya nissan kuwa ni mazuri sana shida ni kwenye utunzaji wetu tu wabongo tukianzia kwenye oil gari za nissan zinataka specific oil tena iliyo genuine na bei zake ziaanzia 60,000_80,000,plug original hadi laki 2 hadi 3..kwa vile wabongo tumezoea bei zetu plug na oil za elfu 20 hadi 35 na mbaya zaidi ukapeleka gari kwa mafundi wetu hawa wa kubahatisha ambao watazidisha tatizo tu kwani wao wanatumia uzoefu wa kutengeneza toyota kwenye nissan.vp na hiyo plug uliyoagiza 400k uliagiza mwenyewe au nayo ulimuachia fundi nawe ukasubiri kupigiwa simu.! mm nawashangaa sana wenye magari ya bei lakini hawayajui vizuri magari wanaishia kununua au kubadilishiwa vitu vingi hata vile visivyo na shida..kwanini mnakuwa wabahili kutoa 20k kufanyiwa diagnosis ya gari ambapo utasolve tatizo kiuhakika kuliko hiyo kwenda kubahatisha kwa mafundi gereji bubu mitaani..ukute mleta mada shida ya gari yake hata sio plug ila kwa ushauri wa fundi laki 5 ndio imeenda.. ila kama ungeanza kwa mtaalam wa diagnosis wala usingefika huko.kwani si kila anaeitwa fundi atatengeneza kila aina ya gari.
 
Back
Top Bottom