Nissan x trail

Big Dy

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2015
Posts
478
Reaction score
585
Habari za muda wadau,nafikiria kununua Nissan x trail kutoka kwa jamaa yangu ambayo alichukua hapa hapa Tanzania kwenye show room Nissan Enzi ndo zina ingia.
Nataka kujua zinakua na matatizo gani haswa hizi gari, na pia ni hatua gani natakiwa kufuata ninaponunua gari kwa mtu binafsi.
Shukran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…