Car4Sale Nissan Xtrail car for sale

Car4Sale Nissan Xtrail car for sale

mickyMICKIZ

Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
39
Reaction score
3
Xtrail car for sale selious buyers check 0654715457 for more info..
Price is affordable let us negotiate..
 
Xtrail car for sale selious buyers check 0654715457 for more info..
Price is affordable let us negotiate..

Uko "selious" unauza hii gari??

Kirahisirahisi namna bila hata kuweka details na kutupiamo vipicha kadhaa???
 
"Selious" buyer atatokea soon.
Inaonekana upo magomeni mapipa, deluxe, manake hapo ukitaka hata kifaru unapata, mimi walinitangaziaga massey fagason left hand.
Pengine ndio maana hujaweka maelezo meeeengi

All ze best
 
"Selious" buyer atatokea soon.
Inaonekana upo magomeni mapipa, deluxe, manake hapo ukitaka hata kifaru unapata, mimi walinitangaziaga massey fagason left hand.
Pengine ndio maana hujaweka maelezo meeeengi

All ze best

unatukatisha tamaa mkuu, huoni tumepiga hatua kutoka udalali wa kwenye vijiwe vya gahawa hadi kwenye mtandao?
 
Wanandugu naelewa sana...
Mi sio dalali kama wengine mnavyosema..
Gari iko dar katika hali nzuri...ndio maana nimeweka namba wazee...anaehitaji anatuma sms au piga kabisa..usikubari ununua picha mzee...
 
Wanandugu naelewa sana...
Mi sio dalali kama wengine mnavyosema..
Gari iko dar katika hali nzuri...ndio maana nimeweka namba wazee...anaehitaji anatuma sms au piga kabisa..usikubari ununua picha mzee...

All the best
 
Acha umbulula wewe watu wanataka kujua ni ya mwaka gani imetembea km ngapi na kama ni used ya bongo ina no gani waone picha ndio wavutiwe waweze kupiga sasa wewe unataka kujidai much know pumb..u
 
Wanandugu naelewa sana...
Mi sio dalali kama wengine mnavyosema..
Gari iko dar katika hali nzuri...ndio maana nimeweka namba wazee...anaehitaji anatuma sms au piga kabisa..usikubari ununua picha mzee...

Sio rahisi udhaniavyo, tena xtrail??
 
Wanandugu naelewa sana...
Mi sio dalali kama wengine mnavyosema..
Gari iko dar katika hali nzuri...ndio maana nimeweka namba wazee...anaehitaji anatuma sms au piga kabisa..usikubari ununua picha mzee...
Rafiki ingekuwa ni swala la picha wajapan nao wamekuwa hawaweki picha.
 
Wanandugu naelewa sana...
Mi sio dalali kama wengine mnavyosema..
Gari iko dar katika hali nzuri...ndio maana nimeweka namba wazee...anaehitaji anatuma sms au piga kabisa..usikubari ununua picha mzee...
Yani niingie gharama za kutuma msg na blahblah kibao za nini? Weka picha na details hapa.... atakayevutiwa ndo atakupigia simu kwa taratibu nyingine.

Kwa mtindo huu, hilo gari litakuozea na hivi mafuta yanazidi kupanda bei..........
 
Wanandugu naelewa sana...
Mi sio dalali kama wengine mnavyosema..
Gari iko dar katika hali nzuri...ndio maana nimeweka namba wazee...anaehitaji anatuma sms au piga kabisa..usikubari ununua picha mzee...

Mara ya kwanza kabla ya wewe kuuziwa hilo gari hukuoneshwa/hukuona picha yake?
 
"Selious" buyer atatokea soon.
Inaonekana upo magomeni mapipa, deluxe, manake hapo ukitaka hata kifaru unapata, mimi walinitangaziaga massey fagason left hand.
Pengine ndio maana hujaweka maelezo meeeengi

All ze best
Preta hebu pita mitaa hii kama uliwahi kuona trekta left hand .
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtindo huu, hilo gari litakuozea na hivi mafuta yanazidi kupanda bei..........

Sio mafuta tu arawa..........gari ni Nissan Xtrail............yeuwooooomiii.........mafuta ni baadae sana.......
 
Preta hebu pita mitaa hii kama uliwahi kuona trekta left hand .

Aluuu........hii trekta ya left hand nimeipenda.........itanifaa sana shambani kwangu kwa kilimo cha vitunguu............
 
Acha umbulula wewe watu wanataka kujua ni ya mwaka gani imetembea km ngapi na kama ni used ya bongo ina no gani waone picha ndio wavutiwe waweze kupiga sasa wewe unataka kujidai much know pumb..u

mzee hii thread ni yangu sio?
Tizama maneno yako!!
 
Back
Top Bottom