wale wa nit tujuane humu.
Tupo pamoja mi bba we kozi gani
Hongera sana kaka......kila la kheri
Jamani habari! n.i.t wametoa hadi wa NACTE?
mi mwenyewe hyo hyo bachelor degree in logistics and transport mngmnt.no yangu 0659626782
Nna cheti cha pre entry DIT je nikija hpo(NIT) nitakubaliwa kuanza Diploma?? Msaada wenu jaman
Umemaliza kidato cha nne au cha sita?
Umemaliza kidato cha nne au cha sita?
Cha nne mkuu
Aisee kama umeishia kidato cha 4 sharti upitie kozi ya mwaka mmoja(certificate) kutoka pale nit au chuo chengine kilichosajiliwa na nacte
Ila kwa kukushauri kama upo dar ni vema ukaenda pale nit ninaimani watakupa ufumbuzi wa tatizo lako