Nit

dah ndugu sina jibu la moja kwa moja ila embu jaribu kupita pale wale jamaa watakupa maelezo

Nashukuru mkuu nilikuwa sijui kama walio maliza kidato cha nne wanaanza na certificate nilijua wanaanza Diploma kama hapa DIT
 
Nashukuru mkuu nilikuwa sijui kama walio maliza kidato cha nne wanaanza na certificate nilijua wanaanza Diploma kama hapa DIT

Dit unasoma diploma miaka mitatu, mwaka wa kwanza basic technician(nta level 4), mwaka wa pili full technician(nta level 5), mwaka wa tatu ndio diploma(nta level 6)

Wakati ukienda nit na vyuo vyengine wanakwambia uanze na certificate ya mwaka mmoja zen ndio unaingia kusoma diploma ya miaka 2

So sio nit wala dit kama mtu una cheti cha form 4 pekee lazima usote miaka mitatu ili kupata gamba la diploma
 

Asante mkuu kesho nta kuwa hpo
 
Mkishafika mnitafute niwanunulie kitimoto hapo Full Dose Bar .... Mkihitaji rum za kupanga mimi ndio dalali
 
Nashukuru mkuu nilikuwa sijui kama walio maliza kidato cha nne wanaanza na certificate nilijua wanaanza Diploma kama hapa DIT

DIT hawan wanafunz wa certificate ila.wanaadmit moja kwa moja kusoma mpaka diploma ila ni sawa na vyuo vngne tu coz diploma ya DIT ni 3 years wakat wengne certficate 1 year na diplom 2 years so usiumize kichwa saana ni utaratibu wa kawaida tu hazna tofaut wala nn
 
teh teh teh Nit madem wa degree wachacheee
 

Nashkuru mkuu
 
Mkishafika mnitafute niwanunulie kitimoto hapo Full Dose Bar .... Mkihitaji rum za kupanga mimi ndio dalali

kaka naomba unichek kwa number 0717382652,,,numechaguliwa apo...nipo arusha afu nataka geto...mpk leo cna raman apa...afu cna ndugu uko mjn plz
 
wadau mi nataka geto la kupanga kitaa...nimechaguliwa apo nit...nipo arusha yani sina ramani kbs km kuna mwny uwezo wa kunisaidia anicheki through 0717382652 & 0752846841
 
Nikumbushe kwa PM jioni ya leo, umeshapata Geto tayari
kaka naomba unichek kwa number 0717382652,,,numechaguliwa apo...nipo arusha afu nataka geto...mpk leo cna raman apa...afu cna ndugu uko mjn plz
 
Hongereni kwa kuchaguliwa kusoma kwenye taasisi na sio chuokikuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…